• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utawala na Rasilmali Watu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WAKUU NA MAKAMU WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYANI LIWALE WANEEMEKA NA WARSA YA UONGOZI, UTAWALA NA UENDESHAJI WA SHULE NA TAASISI

Imewekwa:: July 27th, 2019

WAKUU NA MAKAMU WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYANI LIWALE WANEEMEKA NA WARSA YA UONGOZI, UTAWALA NA UENDESHAJI WA SHULE NA TAASISI.

Akifungua warsha ya siku moja ilioandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya  ya Liwale na kufanyika katika ukumbi wa kituo cha walimu Liwale (TRC) tarehe 26 Julai, 2019 Katibu Tawala Wilaya Ndg. Mbwana Kambangwa aliwasihi wajumbe kutumia warsa hii ambayo itawajengea uwezo wa kutatua changamoto za kiuongozi, utawala na uendeshaji wa shule za sekondari wilayani hapa, lakini pia aliwataka wakuu na makumu wakuu wa shule kutambua dhamana waliopewa, kuwajibika, kutatua migogoro, kuwa waadilifu na wabunifu katika maeneo yao ya kazi ili kuwajengea uwezo wanafunzi, kuongeza kiwango cha ufaulu katika ngazi ya wilaya, mkoa na Taifa kwa ujumla.

Ikumbukwe kwamba Mkoa wa Lindi; uliibuka kinara kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 lakini umekuwa na matokeo yasioridhisha katika matokeo ya kidato cha nne, Katibu Tawala Wilaya ya Liwale Ndg. Mbwana Kambangwa alitumia nafasi hii pia kuwaomba wakuu wa shule za sekondari kuongeza nguvu na juhudi za kipekee ili kuongeza kiwango cha ufaulu katika matokeo ya  kidato cha nne. 

Awali Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Bernard H. Kivamba aliwapongeza Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Liwale kwa kushirikiana na Ofisi ya Elimu wilaya kwa kuaanda warsa hii muhimu katika kuwajengea uwezo wakuu na makumu wakuu wa shule za sekondari wilayani Liwale.

Warsha hii iliendeshwa na Dr. Lameck kutoka Chuo kikuo cha Dar es Salaam ambae aliwajengea uwezo kupitia mada mbalimbali zikiwemo uongozi na utawala bora, uendeshaji, uajibikaji, uzalendo, ubunifu, kutambua majukumu na mchango wao katika jamii. Wajumbe wa warsha hii walimshukuru Mkuu wa wilaya Mhe. Sarah Chiwamba kwa kuwaandalia warsha hii muhimu na yenye tija kwao na kuahidi kwenda kuleta mabadiliko chanya katika maeneo yao ya kazi na sekta ya elimu wilayani Liwale.

Matangazo

  • NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA July 11, 2019
  • Sikukuu ya Nanenane 2019 Ngongo Lindi July 03, 2019
  • Mwenge wa Uhuru July 01, 2019
  • Ratiba ya usafi siku ya tarehe 27/07/2019 July 03, 2019
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAKUU NA MAKAMU WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYANI LIWALE WANEEMEKA NA WARSA YA UONGOZI, UTAWALA NA UENDESHAJI WA SHULE NA TAASISI

    July 27, 2019
  • MKUU WA WILAYA LIWALE AWATUNUKU UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI LIWALE KWA UFAULU WA JUU KIDATO CHA SITA KWA MWAKA 2019 WAKATI WA KIKAO CHA DCC.

    July 18, 2019
  • MKURUGENZI MTENDAJI (W) AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA KITALU NYUMBA

    July 06, 2019
  • UMISETA LIWALE

    June 25, 2019
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Kupata maelezo ya kujiunga (joining instructions) kidato cha tano 2018 Tanzania Bara
  • Orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano 2018
  • Kupata maelezo ya kujiunga (joining instructions) za Vyuo vya Elimu 2018
  • Kufanya UTHIBITISHO kwa waliochaguliwa kujiunga na Vyuo vya Ualimu 2018
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya maji

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • LINDI RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. Box 23 Liwale

    Simu ya Mezani: +255 (0) 737 187 605

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2018 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.