• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

TASAF-LIWALE YAHAWILISHA RUZUKU KWA WALENGWA

Friday 4th, July 2025
@

Kaimu Mratibu wa TASAF Wilaya ya Liwale Bi, Frola Mosha amesema Mpango wa TASAF awamu ya 4 na zoezi la tathmini kwa walengwa awamu ya pili na ugawaji wa ruzuku kwa walengwa umeanza na unaendelea katika Vijiji na Kata kwa Wilaya mzima.

Kwasasa TASAF Wilaya ya Liwale kama miongoni mwa maeneo ya utekelezaji wa Mpango wa Kunususru Kaya Masikini Awamu ya Pili  unaotekelezwa na  Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania(TASAF) imefanya zoezi la uhawilishaji wa Ruzuku kwa Walengwa wa Mpango katika dirisha la Malipo lililofunguliwa tarehe 15-08.2023 mpaka tarehe  26.08.2023,Katika dirisha hili la malipo  walengwa wamepewa ruzuku za malipo ya Mach-Aprili 2023 na Mei-Juni 2023 ambapo Walengwa wa Mpango wamelipwa malimbikizo yao yote ya Ujira wa Ajira za muda walizoshiriki katika mwaka wa 2022-2023 pamoja na ruzuku zingine ikiwamo,ruzuku za msgingi,ulemavu,na masharti ya elimu na afya,Aidha sambamba na malipo ya ruzuku dirisha hili la malipo limeambatana na zoezi la tathmini kwa walengwa kwa Vijiji 46  vya awali ambao walishindwa kufanyiwa tahmini mwezi Machi kutokana nasababu mbalimbali zilizowafanya washindwe kuhudhuria katika zoezi la tathmini aawamu ya kwanza.

Hata ivyo Tasaf Wilaya ya Liwale inaendelea kutoa Elimu kwa wanufaika kuwa na uelewa juu ya Mpango wa kunusuru kaya Masikini kupita walengwa, vipeperushi, pamoja na vyombo vya habari na kuwakumbusha TASAF ni nini ili wananchi wapate uelewa juu ya ufanyaji kazi mbalimbali,  ufugaji, na kuwepo kwenye vikundi  vya kuweka akiba kuwevitakavyo wasaidia kujikwamua kiuchumi.

Sambamba na zoezi la  tathmini linaloendelea TASAF imefanikiwa kuwafikia walengwa wengi na kuwapa Elimu ambayo inayotolewa na wawezeshaji wakati wa warsha za kijamii zinazotolewa kwenye Vijiji  wakati wa malipo na kuwasaidia urahisi wa upatikanaji wa huduma za Afya, Elimu, na Barabara katika Vijiji.

Aidha walengwa walio fikiwa na mpango wa kunusuru kaya masikini wameishukuru TASAF kwa kuwafikia na kuwasaidai katika kujikwamua na Umasikini kama ambavyo Malengo ya Mfuko huu ulivyo lakini pia Bi Zena Issa Chamoto ambaye ni mlengwa ameiomba kutatua changamoto wanazozipata ikiwemo Ujira, ufanyaji wa kazi utoaji wa Eimu na pia wameomba malipo kufanyika kwa wakati na kufuata kalenda ya malipo.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2025
  • MAKALA YA MAFANIKIO YA HUDUMA ZA JAMII NA MIUNDOMBINU NDANI YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA LIWALE. December 07, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YATOA JUMLA YA MKOPO WA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 773,523,370.00 KWA VIKUNDI 201 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    June 08, 2025
  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.