• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGA KURA JIMBO LA LIWALE WAAPISHWA

Friday 14th, November 2025
@SHULE YA SEKONDARI YA KUTWA LIWALE NA SHULE YA SEKONDARI YA KIBUTUKA


Wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura katika Jimbo la Liwale wameanza mafunzo maalum leo mara baada ya kula kiapo cha maadili kinachowataka kutunza siri za mchakato wa uchaguzi na kutokuwa wanachama wa chama chochote cha siasa wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.

Mafunzo hayo yatakayodumu kwa siku mbili (leo na kesho) ni sehemu ya maandalizi ya mwisho kuelekea uchaguzi mkuu, yakifuata mafunzo ya awali yaliyotolewa jana kwa makarani waongoza vituo ambayo yalikuwa ya siku moja.

Akifungua mafunzo hayo, Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Liwale, Bw. Winfrid Tamba, aliwataka washiriki kuzingatia maadili, uwajibikaji na weledi wakati wote wa usimamizi wa vituo vya kupigia kura.

Aidha, amewasisitiza wasimamizi kuzingatia taratibu za uendeshaji wa vituo ikiwemo muda sahihi wa ufunguzi na ufungaji wa vituo, pamoja na namna ya kushughulikia wapiga kura kwa kuzingatia kanuni, haki na usawa. Pia wametakiwa kutoa kipaumbele kwa makundi maalum kama wazee, watu wenye ulemavu, wagonjwa na wanawake wajawazito ili wasilazimike kusubiri kwa muda mrefu kwenye foleni.

Mafunzo hayo yanafanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Liwale (Liwale Day) na Shule ya Sekondari Kibutuka, huku yakielezwa kuwa ni hatua muhimu ya kuimarisha maandalizi ya mwisho kuelekea siku ya kupiga kura itakayofanyika Jumatano wiki ijayo, Oktoba 29, 2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE October 15, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 12, 2025
  • MAKALA YA MAFANIKIO YA HUDUMA ZA JAMII NA MIUNDOMBINU NDANI YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA LIWALE. December 07, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MATOKEO RASMI YA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA LIWALE YATANGAZWA

    October 30, 2025
  • BODI YA KOROSHO YAKABIDHI DAWA YA KUDHIBITI UNYAUFU WA MIKOROSHO – LIWALE

    October 24, 2025
  • RC LINDI AKERWA NA UCHELEWESHAJI WA UJENZI DARAJA LA KIMAMBI

    October 16, 2025
  • ZAIDI YA WAGONJWA 360 WAPATIWA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA LIWALE

    September 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • OR - Tamisemi
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Lindi RS
  • Lindi Manispaa
  • Nachingwea
  • Ruangwa
  • Mtama
  • Kilwa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.