• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mheshimiwa Mlinga Amefunga Mafunzo ya Wajasiriamali Liwale

Imewekwa:: August 14th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amefunga mafunzo ya ujasiriamali ambayo yameendeshwa na Shirika lisilo la Kiserikali la WAUVI (Wanawake  na Uchumi wa Viwanda ) lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wa wakutengeneza bidhaa mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi.

Katika mafunzo hayo wanawake wa Wilaya ya Liwale wamepata nafasi ya kujifunza kutengeneza bidhaa mbalimbali ikiwemo utengenezaji wa Sabuni ya Maji, Batiki, Chili sosi , Jamu, Sabuni ya kipande pamoja na jinsi ya kutumia njia nzuri za kufungasha bidhaa zao ili ziweze kuingia sokoni.

Aidha Mkuu  wa Wilaya amewataka wanawake wa Liwale kuacha kufanya biashara kwa mazoea kwa sababu dunia ya  sasa imebadilika hivyo ni wakati wakwenda na wakati hivyo mafunzo haya yatawasaidia kuboresha bidhaa zao  ziwe na ubora ili waweze kukua kiuchumi na kukuza maendeleo ya Liwale.

Pia Mkuu wa Wilaya amewasihii kuhakikisha wanatumia vizuri mitandao ya kijamii ili kutangaza biashara zao ili waweze kuwafikia wateja mbalimbali nje na Wilaya ya Liwale na pia ametoa wito kwa Halmashauri kuendelea kutoa mikopo kwa asilimia kumi kwa kina mama ili iweze kuwakwamua na kukuza mitaji na biashara zao.

Mkuu wa Wilaya ya Liwale amewataka Shirika la kuhudumia viwanda vidogo  (SIDO) Mkoa wa Lindi  kutoa ujuzi kwa vikundi mbalimbali ndani ya Wilaya ya Liwale ili viweze kutengeneza pedi ambazo ni za kushona na ambazo zitapunguza gharama na pia zitawasaidaia  wafunzi mashuleni na zitapunguza utoro kwa wanafunzi wa kike.

Pia kwa upande wa changamoto Mkuu wa Wilaya mheshimiwa Mlinga amesema kuwa atahakikisha anaongea na Shirika la viwango Tanzania  (Tbs) ili  kusaidia na kuhakikisha bidhaa zinazo toka Liwale hususa zinazo zalishwa na vikundi vya wanawake zinakaguliwa na kuwa na ubora pindi zinapo ingia sokoni  ili ziweze kuleta tija.

Aidha nae Katibu Tawala wa Wilaya ya Liwale Azilongwa Mwinyimvua Bohari  amewataka wanawake kuwa wamoja na kushikamana na kupena maarifa ili kujikwamua kiuchumi katika mafunzo haya ya ujasiriamali na pia kuhakikisha wanapinga ukatili wa kijinsia katika jamii kwani kwa sasa vitendo vingi vya ukatili vimeshamiri na pia kuhakikisha wanawake wanakuwa wasimamizi wazuri wa masuala ya elimu kwa mtoto wa kike  kwani mtoto wakike akipata elimu itakuwa imemkomboa napia kuachana na mila ambazo hazileti ustawi katika  jamii .






baadhi ya matukio ambayo Mkuu Wa Wilaya mheshimiwa Goodlauck Mlinga ameyaona wakati wa ufungaji wa mafunzo ya wajasiriamali wa bidhaa mbalimbali .

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2025
  • MAKALA YA MAFANIKIO YA HUDUMA ZA JAMII NA MIUNDOMBINU NDANI YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA LIWALE. December 07, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YATOA JUMLA YA MKOPO WA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 773,523,370.00 KWA VIKUNDI 201 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    June 08, 2025
  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.