• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa Wilaya Mh. Mlinga Afungua Mafunzo ya Jeshi la Akiba

Imewekwa:: August 22nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amefungua mafunzo ya jeshi la Akiba yenye jumla ya wanafuni 119 wanawake na wanaume kwa kundi la 10 kwa mwaka 2023 katika kata ya Liwale B.

Hayo yamejiri katika viwanja vya shule ya msingi Mkwajuni ambapo mafunzo hayo yanatolewa na kwa kujumuhisha wakufunzi 7 huku mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Wilaya, akizungumza na wanafunzi hao wakati akifungua mafunzo kwa kuwapongeza mabinti walio jitoa kujiunga na jeshi la Akiba na kwataka wanafunzi hao kuwa watiifu, wakakamavu na uvumilivu kwenye kuzingatia mafunzo wanayopata.

‘’Niwapongeze mabinti ambao mmejiunga na jeshi letu la Akiba mmekuwa kipaumbele kwa msimu huu haikuwai tokea lakini pia mnapaswa kuwa watiifu na wakakamavu wakati mnapatiwa mafunzo naami uvumilivu mtaouonesha basi utawafanya mfanikiwe licha ya changamoto mbalimbali ambazo mnakabiliananazo’’.

‘’Pia nimesikia kero zenu nyie fanyenu majukumu yenu yanayotakiwa nami binafsi nawahaidi kuwasaidia ivyo amabavyo mmeviomba lakini pia ujuzi huu mnao jifunza hapa mnapaswa kuishi nao kwakulinda amani ya nchi na kutojiusisha na mambo ya rushwa kwa kupokea ama kutoa mbali na hayo changamkieni fursa ambazo zipo hapa wilayani kwetu.

Hatahivyo mshauri Mkuu wa Jeshi la Akiba Liwale Gwamaka Charles Masinde amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuuzuria tukio hilo na kueleza mafunzo ambayo wanayotoa kwa jeshi hilo la Akiba ikiwemo elimu kuuusu vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

‘’Binafsi nikushukru Mkuu wa Wilaya na nikupongeze kwa kuudhuria ufunguzi huu ambao unausisha wanafunzi 119 kwa wanawake na wanaume, wakufunzi 7 ambao anausika moja kwa moja kutoa mafunzo licha ya kuwa tunatoa mafunzo ya kijeshi pia tunawafundisha umuhimu wa vyombo vya habari na hasara za mitandao ya kijamii’’ Ivyo mafunzo hayo yatadumu kwa miezi 6 na kumalizika mwezi 12.

 




Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI

    October 30, 2024
  • UKAGUZI WA UTEKELEZAJI WA KUTENGWA, KUPIMWA NA KUMILIKISHA WAFUGAJI MAENEO RASMI KWAAJILI YA ZOEZI LA UFUGAJI KATIKA KATA YA KIMAMBI.

    October 25, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.