• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

RC LINDI AKERWA NA UCHELEWESHAJI WA UJENZI DARAJA LA KIMAMBI

Imewekwa:: October 16th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Zainab Telack, ameonesha kukerwa naucheleweshaji wa ujenzi wa daraja lililopo Kijiji na Kata ya Kimambi katikaHalmashauri ya Wilaya ya Liwale, linalotekelezwa na Kampuni ya Ukandarasi ya Mbuya.

Mheshimiwa Telack alionyesha kutoridhishwa nakasi ya ujenzi huo wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi yaujenzi wa madaraja makubwa wilayani Liwale, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzina Usalama ya Mkoa wa Lindi pamoja na Kamati ya Ulinzina Usalama ya Wilaya ya Liwale.

Amesema ucheleweshaji wa mradi huo ni jambolisilokubalika, hasa ikizingatiwa kuwa mkandarasi huyo tayari amepokea fedha zamradi kwa hati ya dharura na kuandikiwa zaidi ya barua 12 za maonyo bilakuchukua hatua za kuridhisha.

“Mkandarasi huyu amepewa fedha na muda wakutosha kukamilisha kazi kabla ya mvua kuanza, lakini hadi sasa hakunamaendeleo yanayoonekana. Naagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ukandarasiya Mbuya kufika ofisini kwangu ifikapo Oktoba 22, 2025, kueleza sababu zaucheleweshaji huu,” alisema Mheshimiwa Telack.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa alitembelea miradimingine ya ujenzi wa madaraja katika Kata za Kibutuka na Nangano,ambako aliwataka wakandarasi husika kuongeza kasi ya utekelezaji wa kazi ilimiradi hiyo ikamilike kwa wakati.

Ameagizawakandarasi wote kufanya kazi usiku na mchana, kuongeza wafanyakazi na vifaa,ili kuhakikisha madaraja hayo yanakamilika kabla ya kuanza kwa msimu wa mvua,akisisitiza kuwa Serikali haitavumilia uzembe au ucheleweshaji wa miradi yamaendeleo yenye manufaa kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE October 15, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 12, 2025
  • MAKALA YA MAFANIKIO YA HUDUMA ZA JAMII NA MIUNDOMBINU NDANI YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA LIWALE. December 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC LINDI AKERWA NA UCHELEWESHAJI WA UJENZI DARAJA LA KIMAMBI

    October 16, 2025
  • ZAIDI YA WAGONJWA 360 WAPATIWA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA LIWALE

    September 20, 2025
  • KIBUTUKA SEKONDARI KUTOKA LIWALE BINGWA WA BIOLOJIA KATIKA SHINDANO LA YOUNG SCIENTIST 2025

    September 19, 2025
  • WANAWAKE, VIJANA, WAZEE NA WENYE ULEMAVU KUFAIDIKA NA ASILIMIA 30 YA ZABUNI ZA SERIKALI

    September 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • OR - Tamisemi
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Lindi RS
  • Lindi Manispaa
  • Nachingwea
  • Ruangwa
  • Mtama
  • Kilwa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.