• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

RC Telack Awapongeza Wafanyakazi Lindi

Imewekwa:: May 1st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainab Telack amewapongeza wafanyakazi kwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii katika kujenga Taifa na kuleta maendeleo katika eneo lake la kazi na kuendelea kutumikia wananchi ameyasema hayo katika sherehe za wafanya kazi Meimosi ambazo zimefanyika Kimkoa katika Wilaya ya Ruangwa.

Mheshimiwa Telack amewataka wafanyakazi kuhakikisha wanatumia vizuri muda wao wakazi ili kuleta maendeleo katika sehemu husika kumekuwa na baadhi ya wafanyakazi wanatumia muda wa muajiri katika mambo yao binafsi jambo ambalo sio zuri na linazorotesha maendeleo hivyo kila mtumishi ahakikishe anatumia muda vizuri katika eneo la kazi na kucha kutumia simu na kuchati.

Hata hivyo Mheshimiwa Telack amewataka waajiri kuhakikisha wanashirikiana na wafanyakazi na kuwasikiliza na kutatua kero zao kwani kumekuwa na watumishi wengi wanamalalamiko hivyo wanawajibu wakuwasikiliza na kuwalipa stahiki zao na kutatua kero zao ili waweze kufanya kazi kwa bidii na kuleta maendelo katika Mkoa wetu.

Aidha Mheshimiwa Telack amewataka watumishi wote waserikali kuhakikisha wanakuwa na maadili mazuri na lugha za staha katika maeneo yao ya kazi ili kuweza kuwahudumia watanzania mbalimbali na pia itasaidia kujenga ushirikiano na ambao utatusaidia kuleta maendeleo hivyo tuwe watiifu kwa tunao wahudumia katika maeneo yetu.

pia Mheshimiwa Telack amewataka watumishi kupinga vitendo vya rushwa na vitendo vya unyanyasaji katika maeneo ya kazi kwani hii inachangia kudhohofisha molari za watumishi na kufanya watumishi kutokuwajibika hivyo niwaombe watumishi tuwe waadilifu na kukemea vitendo hivi ili tuweze kufanya kazi kwa usawa na kuwapa wananchi maendeleo.

Hata hivyo Mheshimiwa Telack amewataka waajiri kuhakikisha wanawapa watumishi nafasi za kujiendeleza kimasomo kama sheria inavyo sema hii itasaidia kuzalisha watumishi wenye uwezo mkubwa wa kusaidia serikali katika mipango yake na watumishi tuhakikishe tunatumia nafasi hizi kwa uwadilifu kwani kumekuwa na watumishi ambao wanakimbia kujiendeleza sababu ya kuaribu katika nafasi zao za kazi hivyo tuwe wasafi na waadilifu.

Mheshimiwa Telack amewaagiza waajiri wote katika Mkoa wa Lindi kuhakikisha wanalinda maslahi ya watumishi na kuyasimamia na pia kuandaa mafao ya watumishi wanao staafu katika vituo vyao vya kazi na pia watumishi wahakikishe wanatimiza majukumu yao ipasvyo serikali imesikia changamoto zote ambazo zimewasilishwa na zitafashiwa kazi hivyo tushirikiane na serikali ili tuweze kujenga taifa na kuleta maendeleo katika Mkoa wetu.



Picha mbalimbali katika matukio ya sherehe za meimosi zilizofanyika Wilaya ya Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.