• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Sport Development Aid Yakabidhi Vifaa vya Michezo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

Imewekwa:: May 28th, 2024

 Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Sport Development Aid  wamezindua na kukabidhi vifaa vya michezo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina Sekambo ikiwa ni muendelezo wa kusapoti Sekta ya Michezo mashuleni   kwa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Liwale ambapo shule 16 za sekondari zimekaidhiwa vifaa hivyo.

Mkurugenzi wa Mradi wa Sport Development Aid Ramson Lucas amesema mradi ambao wanaendelea nao kwa Shule za Sekondari ujulikanao kama Empowering Boys’ Society Through Sport and Health Education ni mradi ambao unalengo la kumsaidia kijana wa kiume katika kutambua nafasi yake katika jamii sambamba na kupinga mfumo dume na pia kumjengea uwezo wa kujitambua.

Aidha Ramson ametoa rai kwa wadau wengine kuhakikisha wanaweka mkazo katika suala la physical education kuwa sehemu ya masomo mengine kwa kuhakikisha kupitia michezo na mazingira ya shule yanakuwa rafiki kwa kujifunzia kwa sababubu michezo ni chanzo cha ajira.

Kwa upande mwengine Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina sekambo amewashukuru wadau hawa muhimu katika kuhakikisha wanaunga mkono jitihada za kukuza na kuendeleza michezo katika mashule jambo litakalosaidia kuwalinda vijana na kuwaunganisha na kuwajengea tabia njema hata hivyo amewaomba waangalie jinsi ya kuwasaidia pia wanafunzi wa elimu ya msingi kwa kuwapatia vifaa vya michezo ili nao waweze kujihusisha na michezo kwa sababu michezo ni afya.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri amewataka Maafisa Elimu kuhakikisha wanatenga muda wa michezo katika shule zote ili wanafunzi waweze kushiriki vizuri michezo kwa sababu michezo ni ajira na itasaidia kuwatengenezea uwezo wa kujitambua na kuwaepusha na tabia zisizofaa katika jamii.



Picha malimbali katika uzinduzi na kukabizi vifaa vya michezo vilivyo tolewa na Sport Development Aid.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.