• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

“Wafugaji Kupewa Maeneo ya Kuchungia RC Mh. Telack"

Imewekwa:: January 31st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainab Telack amefanya kikao na wafugaji wa Wilaya ya Liwale akiwaeleza lengo la Serikali lakuwagawia maeneo ya kuchungia ili kuondoa na kudhibiti mifugo inayodhurula na kulishwa kwenye mashamba ya watu jambao linalao sababisha migogogro na upotevu wa amani kati ya wakulima na wafugaji.

Mheshimiwa Telack amesema  kuwa jambo kubwa ni kutafuta suluhu na kuelewana ili kuepusha migogoro hii na kuwataka wafugaji wote kujisajili na kupata idadi kamili ya wafugaji na mifugo yao ili wanapo pewa maeneo hayo yaendane na idadi ya mifugo  hata hivyo Mkoa wa Lindi umetenga maeneo mbalimbali kwa ajili ya ufugaji “niwatake wafugaji mtoe idadi  kamili ya mifugo  yenu ili mpatiwe  maeneo ambayo yataendana na mifugo yenu  na tusitoe taarifa za uwongo Serikali hipo kwa ajili ya kuwasaidia nyie na sio kuwanyanganya mifugo yenu kama vile watu wengine wanavyo wadanganya”.

Hata hivyo Mheshimiwa Telack amewataka wafugaji wote ambao watapewa maeneo ya kufugia ambayo yanendelea kupimwa sehemu mbalimbali ndani ya Mkoa wa Lindi ikiwemo hapa Liwale” wanawajibu wa kuyaendeleza kwa kuchimba visima na kupanda nyasi kwaajili ya mifugo yao na mfugaji ambaye hatafanya hivyo ajue kuwa ndani ya Mkoa huu ata hama na pia hatutaki wafugaji ambao wanadhurula hovyo na mifugo kwenye mapori na hifadhi za Serikali na kulisha kwenye mashamba ya watu”.

Aidha Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Telack amekiagiza Chama Cha Wafugaji Tanzania kiendelee kutoa elimu kwa wafugaji kwani wengi wao wamekuwa na uwelewa mdogo juu ya kugawiwa maeneo ya kufugia hivyo tushirikiane na Serikali ili tuweze kutatua changamoto hii ambayo ipo ndani ya Mkoa huu tunaitaji kufuga kisasa tuache kumiliki ngombe wengi ambao awana tija tukifuga kisasa tupata faida nyingi.

Mheshimiwa Telack amewambia wafugaji kuwa kufuga kisasa kutasaidia kukaa na mifugo eneo moja na kucha kudhurula tumeona Serikali inatafuta masoko ya nyama nnje ya nnchi kufuga kisasa itasaidia kupata soko la uwakika kwasabubu mifugo yenu itakuwa ikakauguliwa marakwa mara na maafisa mifugo wetu ambao wapo na pia Serikali itajua kuni dadi ngapi ya mifugo ambayo ipo ndani ya Mkoa ili iweze kutoa chanjo kwa wafugaji wote ambao wapo.

Aidha Mweshimiwa Telack amewataka wafugaji kuwa na utaratibu wa kuvuna na kupunguza idadi ya mifugo yao kwani kuwa na idadi kubwa ya mifugo imekuwa inawanyima haki watoto wa jamii ya kifugaji kupata elimu badala yake wanakuwa wanadhurula na mifugo kwenye mapori hivyo wafugaji mnatakiwa kubadilika na pia itawasaidia kutambulika na pia kudhaminiwa na Taasisi za kifedha ikiwemo mabenki ambayo yatawapatia mikopo mfuge kisasa ili tutoke huku tulipo.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Zainab Telack amekiataka Chama Cha wafugaji Tanzania kuhakikisha kinasimamia na kupata uongozi mpya wa wafugaji wa Liwale ambao watashirikiana na Serikali katika zoezi hili la kuwagawia maneo na kuwa mstari wa mbele kuwasidia wafugaji na kuwapa elimu ili tuweze kuanza maisha mapya kati ya wafugaji na wakulima katika Mkoa huu na pia wananchi wote wa Lindi wanataka amani hivyo wafugaji tutimize haya ambayo tumekubaliana.


Picha mbalimbali ikiwemo Kamati ya Usalama ya Mkoa na Wilaya pamoja  watumishi na wafugaji wakisikiliza maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainab Telack katika kikao cha wafugaji Wilaya ya Liwale.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.