• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

ZIARA YA KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI WILAYANI LIWALE

Imewekwa:: September 22nd, 2022

Katibu Tawala Mkoa Ndugu Ngusa Samike akiongozana na Mganga Mkuu Mkoa bwana Herry Karia, Bi Albina Gelege meneja mradi USAID Afya na bwana Ezekiel Buliana Famasia wa Mkoa. amefanya Ziara Katika Halmashauri ya Wilaya ya Liwale kwa Lengo la Kukagua Huduma za Afya Zinazotolewa, Upande wa Famasia, Mama na Mtoto na huduma Inayotolewa kwa Waathirika wa Virusi vya Ukimwi(VVU)

Pia Kuhakiki Utekelezaji wa Maagizo ya Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipohutubia Mkutano wa 12 wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Asilimia 50 ya Mapato Yanayokusanywa Kwenye Vituo vya Afya Zitumike Kununulia Madawa, Vifaa Tiba na Lishe. Ambapo alifanya ziara kwenye vituo vifuatavyo.

Alikagua hali ya ujenzi wa mradi na kupongeza wahandisi kusimamia  vizuri, aliwataka Halmashauri kutoa pesa iliobaki na kumaliza majengo yaliyobaki na hospitali ianze kufanya kazi.

Katibu tawala Mkoa alikagua Hosptali ya wilaya Liwale upande wa kliniki ambapo alisifu kuwepo kwa rejesta ya dalili za hatari na kusisitiza umuhimu wa kuweka taarifa za kutosha za wagonjwa ili kupunguza hatari kwa mama na mtoto, amekagua ugaaji neti, amekagua hali ya ugawaji wa dawa ya fefo  na kukagua vifaa vya kutolea huduma.

Amekagua upande wa pharmacy amepongeza watumishi kuboresha huduma ya kutoa dawa ukilinganisha na kipindi cha nyuma.

Kituo cha Afya Mpengele amekagua jengo la RCH, amekagua chanjo za Watoto. Mganga Mkuu Mkoa amewasihi watumishi kufanya usimamizi wa karibu wa chanjo hizo ili kuleta ufanisi wa ugawaji wa chanjo hizo.

Katibu tawala Mkoa amekagua nyumba za watumishi ambao ni mradi wa Uviko  ambao ulikamilika tarehe 30/07/2022, aliwapongeza wahandisi kusimamia vizuri mradi huo

Mganga mkuu Mkoa aliwataka viongozi wa kituo hiko kuongeza idadi yaa vipimo ili kuendana na hadhi ya kituo cha afya.

Kituo cha afya  Mpengele wanakabiliwa na changamoto za upungufu wa watumishi, na changamoto ya vifaa kama Kompyuta.


Katibu tawala Mkoa  alikagua upande wa RCH, alikagua hali ya ugawaji wa dawa ya fefo, folic acid, daftari la dalili za hatari  na alikagua hali ya utoaji huduma, Bi Albina Gelege  meneja mradi USAID Afya,liwapongea kutoa huduma nzuri.

Pia alikagua upande wa CTC  alikagua huduma ya utoaji wa dawa kwa waathirika wa vvu, hali ya upimaji wa VVU na upimaji w avira load, Katibu tawala Mkoa aliridhishwa na huduma inayotolewa pia Mganga mkuu mkoa Herry Karia alisistiza kuhamasisha watu kujitokeza kupima vvu hasa wanaume.

Amekagua upande wa pharmacy amepongeza haliya huduma kuboreshwa ukilinganishwa na kipindi cha nyuma.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2025
  • MAKALA YA MAFANIKIO YA HUDUMA ZA JAMII NA MIUNDOMBINU NDANI YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA LIWALE. December 07, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YATOA JUMLA YA MKOPO WA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 773,523,370.00 KWA VIKUNDI 201 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    June 08, 2025
  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.