• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Fedha na Biashara

 IDARA YA FEDHA NA BIASHARA 

 

  • Kuratibu na kuhamasisha shughuli za biashara na viwanda Wilayani, kutoa elimu ya biashara kwa Wajasiriamali na watu walioko katika biashara

  • Kutayarisha ripoti za biashara na masoko, kubuni vyanzo vya mapato na

  • Kutoa leseni za biashara na kufanya ukaguzi

  • Kutafanya na kukagua kazi ya maingizo “Posting” kwenye daftari la fedha “Cash books” za matumizi na kuhakikisha zinafanywa kila siku na wahusika mara tu malipo yanapokamilika.

  • Kusimamia na kutafanya ukaguzi wa kuona kuwa kazi ya uchambuzi na uhifadhi wa nyaraka “Batching” inafanyika kila malipo yanapokamilika kila siku ya kazi.

  • Kutatoa taarifa juu ya utendaji usioridhisha wa vitengo vyote vidogo vilivyo chini ya kitengo cha matumizi kwa Mtunza Hazina kila itakapobidi.

  • Kukagua vitabu vya kutunzia kumbukumbu za fedha “Vote books” na taarifa ya mapato na matumizi ya kila mwezi na kuhakikisha matumizi hayazidi bajeti kwa kila kifungu kwa akaunti zote za Halmashauri.

  • Kuaandaa taarifa mbalimbali zinazohusiana na mifuko ya Halmashauri kila mwezi/mwaka pale zitakapohitajika.

  • Kukagua na kusimamia uandaaji wa madaftari ya udhibiti wa fedha “Control Cash Books”.

  • Kuaandaa Urari wa fedha, hati ya mapato na matumizi (Statement of financial performance)na mizania kwa kila mwezi na mwaka kwa mifuko unayofanyia kazi.

  • Kufuatilia madeni/wadeni wa Halmashauri na kuona wanailipa Halmashauri kwa wakati

  • Utahakikisha kuwa hakuna salio la makosa/la miamala iliyoibuliwa “Any outstanding item” katika mifuko hiyo.

  • Utakagua vitabu vyote vya kukusanyia mapato toka kwa wakusanya mapato na kuvitolea taarifa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALICHAGULIWA KUANZA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 - LIWALE DC December 19, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE. (FORM ONE JOINING INSTRUCTIONS) December 15, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAKUU NA MAKAMU WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYANI LIWALE WANEEMEKA NA WARSA YA UONGOZI, UTAWALA NA UENDESHAJI WA SHULE NA TAASISI

    July 27, 2019
  • MKUU WA WILAYA LIWALE AWATUNUKU UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI LIWALE KWA UFAULU WA JUU KIDATO CHA SITA KWA MWAKA 2019 WAKATI WA KIKAO CHA DCC.

    July 18, 2019
  • MKURUGENZI MTENDAJI (W) AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA KITALU NYUMBA

    July 06, 2019
  • UMISETA LIWALE

    June 25, 2019
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Kupata maelezo ya kujiunga (joining instructions) kidato cha tano 2018 Tanzania Bara
  • Orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano 2018
  • Kupata maelezo ya kujiunga (joining instructions) za Vyuo vya Elimu 2018
  • Kufanya UTHIBITISHO kwa waliochaguliwa kujiunga na Vyuo vya Ualimu 2018
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya maji

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • LINDI RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. Box 23 Liwale

    Simu ya Mezani: +255 (0) 737 187 605

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2018 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.