• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Tourist attractions

FURSA ZA UTALII NA UWEKEZAJI ZILIZOPO KWENYE HIFADHI YA WANYAMAPORI YA JUMUIYA MAGINGO (LIWALE WMA) WILAYA YA LIWALE.

Fursa za utalii na uwekezaji zilizopo kwenye hifadhi ya wanyamapori ya Jumuiya ya Magingo. Fursa hizo za utalii na uwekezaji ni;

  • Uwindaji wa Kitalii.
  • Uwindaji wa Wenyeji.
  • Utalii wa Picha.
  • Utalii wa Kiutamaduni.
  • Biashara ya Hewa Ukaa (Carbon Offsetting).
  • UWINDAJI WA KITALII.
  • Jumuiya Hifadhi ya Wanyamapori  Magingo (Liwale WMA), ina vitalu vya uwindaji wa kitalii vinne ambavyo ni;
  • Kitalu cha Hokororo.
  • Kitalu cha Nachengo.
  • Kitalu cha Naimba.
  • Kitalu cha Kiurumila.
  • Kitalu cha Hokororo.
  • Kitalu kina ukubwa wa eneo la 1,097.59 km2
  • Kina mwekezaji wa uwindaji wa kitalii.
  • Kina pakana na Hifadhi ya Taifa ya Nyerere.
  • Kina Uwanja wa Ndege wa Kinjacha uliokuwa ukitumiwa na Wakoloni, mpaka sasa unatumika.
  • Kina Bwawa kubwa la Hokororo.
  • Kitalu cha Nachengo.
  • Kitalu kina ukubwa wa eneo la 854.33 km2
  • Kina mwekezaji wa uwindaji wa kitalii.
  • Kina pakana na Hifadhi ya Taifa ya Nyerere.
  • Kina Bwawa kubwa la Nachengo.
  • Maporomoko ya Mto Mange.
  • Kitalu cha Naimba.
  • Kitalu kina ukubwa wa eneo la 421.35 km2
  • Kitalu hiki kipo wazi (Hakuna mwekezaji).
  • Kina pakana na Pori la Akiba la Selous.
  • Kina Uwanda wa tambalale unaoitwa Serengeti ya Michuyo na Ndende Kiteko na Uwanda wa Chindo na Kikwaju.
  • Kitalu cha Kiurumila.
  • Kitalu kina ukubwa wa eneo la 1,004.76 km2
  • Kitalu hiki kipo wazi (Hakuna mwekezaji).
  • Kina pakana na Pori la Akiba la Selous.
  • Kina jamvi la Jiwe kubwa linaloitwa Kambi ya Mwarabu.
  • Kina Maporomoko ya Mto Nakiu.
  • UWINDAJI WA WENYEJI.
  • Jumuiya Hifadhi ya Wanyamapori  Magingo (Liwale WMA), ina Kitalu kimoja cha uwindaji wa Wenyeji ambacho ni;
  • Kitalu cha Namawe.
  • Kitalu cha Namawe.
  • Kitalu kina ukubwa wa eneo la 267.86 km2
  • Kitalu hiki kipo wazi (Hakuna mwekezaji).
  • Kwa ajili ya wawekezaji wa shughuli za biashara ya Mabucha ya Nyamapori.
  • Kinapakana na Hifadhi ya Msitu wa Kiperere na Nanjilinji.

na kitalu kimoja ni cha uwindaji wa wenyeji (Namawe). Shughuli za uwindaji wa kitalii zinafanyika kwenye vitalu viwili ambayo vina wawekezaji (kitalu cha Hokororo na Kitalu cha Nachengo).

  • UTALII WA PICHA.
  • Jumuiya Hifadhi ya Wanyamapori  Magingo (Liwale WMA), ina Vivutio mbalimbali vya utalii wa picha ambavyo ni;
  • Mabwawa makubwa yenye Viboko na Mamba wengi ambayo ni; Bwawa la Hokororo, Bwawa la Ligundalema, Bwawa la Nachengo, Bwawa la Namiungo, Bwawa la Namula na Bwawa la Namakala.
  • Mito mikubwa ambayo ni; Mto Mlembwe, Mto Namatanda, Mto Njenje, Mto Ndapata, Mto Ijundu, Mto Mange, Mto Namiu, Mto Kiyao, Mto Naki una Mto Nganga.
  • Maporomoko ya Mto Mange na Mto Namiu.
  • Magofu ya Boma la Mjerumani (Apira) – Makunguwila.
  • Uwanda mkubwa wa tambalale, unaoitwa Serengeti ya Michuyo na Ndende kiteko na uwanda wa Chindo na Kikwaju. Wanyamapori wengi wanapatikana.
  • Jamvi kubwa la Jiwe (Kambi ya Mwarabu).
  • Uwanja wa Ndege wa zamani uliokuwa unatumiwa na Wakoloni mpaka sasa unatumika.
  • Misitu minene jamii ya Miombo.
  • Miti iliyogeuka kuwa Mawe.
  • Makaburi ya zamani ya Wakoloni.
  • Jiwe linalotoa maji mengi ya kunywa – Mangeringeri.
  • Vichuguu virefu sana kwenda juu.
  • Wanyamapori wa aina mbalimbali kama vile; Makundi makubwa ya Tembo, Makundi makubwa ya Nyati, Simba, Chui, Mbwa Mwitu, Nyumbu, Pofu/Mbunju, Tandala, Nungunungu, Kiboko, Mamba, Kuro, Swala pala, Kongoni, Fisi, Pundamilia n.k.
  • Aina mbalimbali za Ndege, Mijusi, Chura na Samaki.
  • Boma la Mkoloni – Liwale mjini (Nje ya MWA).
  • UTALII WA KIUTAMADUNI.
  • Msafara wa Ngende (Ngende Migration),
  • BIASHARA YA HEWA UKAA (CARBON OFFSETTING).
  • Kutokana na Wilaya ya Liwale kuwa na hifadhi ya wanyamapori ya Magingo na Misitu mingi minene jamii ya Miombo.
  • Biashara ya Hewa Ukaa ni mradi fidia (Compensational project) unaolenga kunufaisha jamii inayolinda Misitu kwa manufaa ya ikolojia na jamii yenyewe.
  • Mtu au kampuni inaweza kuwekeza katika mradi wa hewa ukaa kwa ajili kupata faida yeye mwenyewe/kampuni na jamii inayotunza na kulinda Misitu
  • MAENEO YA UWEKEZAJI 
AINA YA UWEKEZAJI
ENEO
UKUMBWA WA ENEO
MAELEZO
 
UTALII
Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Magingo
Kilomita za mraba 4,267
Kuna eneo la hifadhi ya wanyama pori la Jumuiya ya Magingo lenye vitalu 3 vya uwindaji wa kitalii, ambavyo ni Nachengo, Hokororo na Naimba. Aidha hifadhi ina kitalu 1 cha uwindaji wa kienyeji  na kitalu 1 cha Upigaji wa Picha wa kitalii kiitwacho Kihulumila. Kufanya shughuli katika eneo hili inahitaji kufanya mawasiliano na Jumuiya ya Magingo.
UTALII
Pori la Akiba Salous
Kilomita za mraba 28,586
Eneo hili lina vitalu vya Uwindaji wa kitalii na Upigaji wa picha wa kitalii. Uwekezaji katika eneo hili ni wa Hoteli za Kitalii na vyuo vya mafunzo ya Utalii.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI

    October 30, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.