• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC Mlinga Azindua Chanjo ya Kichaa cha Mbwa

Imewekwa:: September 26th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mhe. Goodcluk Mlinga amezindua maadhimisho ya siku ya kichaa cha mbwa duniani ambapo kwa Wilaya ya Liwale jumla ya chanjo 2500 zitatolewa kwa Mbwa katiaka vijiji vyote vilivyopo Wilaya ya Liwale na kutoa elimu kwa jamii juu ya Ugonjwa huu hatari unaowapata Mbwa.

Akizungumza na wataalamu na wananchi waliojitokeza katika amaadhimisho hayo ya chanjo ya kichaa cha mbwa katika viwanja vya Ujenzi Liwale Mjini, Mkuu wa Wilaya ya Liwale amewashukuru wasimamizi wa chanjo hizo na kuwataka kutoa chanjo kwa kupita kila sehemu katika wilaya nzima ili kutoa huduma hii kwa jamii japo ni ngumu lakini pia kuwataka wananchi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa watoa chanjo.

Siku ya kichaa cha Mbwa Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Septemba 2023 kwa lengo la kuhamasisha jamii kutokomeza ugonjwa huu wa kichaa cha mbwa ambapo maadhimisho haya kitaifa yalizinduliwa rasmi tarehe 24 Septemba na Waziri wa mifugo Mhe. Abdallah Ulega na kufungwa na Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa tarehe 28 Septemba 2023 ndipo kilele cha maadhimisho hayo.

Sambamba na hayo katika risala ilioandaliwa na Ofisi ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi na kusomwa mbele ya mgeni rasmi inaeleza kuwa kampeni hiyo ya chanjo itausisha vijiji vyote vilivyopo mji wa liwale bila malipo yoyote ambapo matarajio ni kutoa chanjo 2500 kutokana na chanjo zilizopokelewa ivyo matumaini makubwa ni kuwafikia watu wote wanaofuga Mbwa na Paka waweze kupata chanjo.

Takwimu zilizopo zinzonesha kuwa kati ya Januari 2021 hadi Septemba 2023 idadi ya matukio ya watu kuumwa na Mbwa ni 42 katika kipindi cha mwaka wa 2022 pekee jumla ya matukio 19 yalioripotiwa pia Serikali inatambua vijiji vilivyo athirika ni Pamoja na Ngunja kata ya ngowele, Lilombe Kata ya Lilombe, Kinguluila Kata ya Nangando.

Hata ivyo jumla ya Mbwa na Paka 94 walichanjwa katika maeneo yaliyoathirika ikiuhusisha kata ya Lilombe, Ngongowele, Kimambi, Liwale Mjini Likongowele, na Nangando. Hata ivyo kwa kipindi cha Januari 2012 hadi Septemba 2023 hakuna vifo vilivyo ripotiwa kuusishwa na dalili za kichaa cha Mbwa kwa Watu walioshambuliwa  

Aidha katika uzinduzi huo uliokwenda kwa kaulimbiu isemayo Kichaa cha Mbwa ‘’Wote kwa ajili ya mmoja, Afya Moja kwa wote ‘’ ziko changamoto baadhi zinaikabili Jamii kukabiliana na wimbi la ugonjwa wa kichaa cha Mbwa kama vile upatikanaji hafifu wa chanjo kwa binadamu na gharama kubwa, uwepo wa Mbwa na paka wengi wanaozurura katika miji na vijiji kumeongeza hatari kubwa.

Licha ya changamoto mbalimbali Halimashauri imejipanga kutoa elimu kwa Jamii kwa kulenga makundi na rika mbalimbali na katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu wengi ikiwemo masokoni minadani na katika maeneo ya ibada pia wananchi wote hususani wamiliki wanaofuga mbwa na Paka kujitokeza kwa wingi katika vituo vya uchanjaji wa  mbwa na Paka wapate chanjo ili kuwakinga na ugonjwa wa kichaa.




Zoezi la chanjo ya kichaa cha Mbwa likiendelea katika viwanja vya ujenzi Wilaya ya Liwale.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.