• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC Mlinga na TAWA Watoa Msaada wa Viti Mwendo

Imewekwa:: November 18th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amekabidhi viti mwendo 5 kwa watu wenye mahitaji maalumu   ikiwa ni lengo la kuwasaidia watu wenye ulemavu kwa kushirikiana na Taasisi ya Wanyamapori TAWA kupitia Pori la Akiba Selous kituo cha Liwale na Kampuni ya Uwindaji wa Kitalii Tanzania Safari and Hunting.

 Mheshimiwa Mlinga ameishukuru Taasisi ya Wanyamapori na wadau   kwa kuendelea kuwakumbuka watu wenye mahitaji maalumu ikiwemo walemavu kwani ni watu muhimu katika jamii hivyo ni muhimu kuwajali kwakuwapatia hivi viti mwendo ambavyo vitawasaidia katika shughuli mbalimbali ikiwemo za kuwaongezea kipato chao.

Aidha Mheshimiwa Mlinga” amesema kuwa ofisi ya Mkuu wa Wilaya imekuwa ni kimbilio kwa watu wote wenye ulemavu hivyo kama Serikali haitaweza kuwafikia watu wote wenye mahitaji maalumu hivyo kujitokeza kwa wadau hawa muhimu hii imetusaidia sana katika kutatua changamaoto hii hapa kwetu Liwale hata hivyo natoa wito kwa makampuni mengine ya uwindaji wa kitalii yajitokeze pia ili ya weze kusaidia jamii kwa mahitaji mbalimbali”.

 Kwa upande mwengine Kaimu Mkuu wa Kituo Selous Liwale Afisa Mhifadhi Sweetbert J Hayshi ameishukuru kampuni ya uwindaji wa kitalii ya Tanzania Safari and Huting kwa jinsi inavyo shirikiana na TAWA katika shughuli za uhifadhi pamoja na kutoa wito kwa wakazi wa Liwale kushirikiana katika kutunza na kulinda rasilimali za wanyamapori kwa maendeleo

Hata hivyo pia amewakumbusha kuwa faida hizi zinatokana na uhifadhi na kutunza na kulinda rasilimali za wanyamapori kwani kwa kutunza tunapata makampuni ya uwindaji wa kitalii ambayo yanatuletea faida kubwa ukiachana na msaada huu wa viti mwendo ambao umetolewa na kampuni hii ya uwindaji pia Vijiji vinavyozunguka hifadhi na mapori tengefu vimeweza kupata magawio yao ya dola za kimarekani 5000 ambazo zinasaidia katika maendeleo ya vijiji ikiwemo afya, elimu pamoja na maji.

Pia Meneja wa kampuni ya Tanzania Safari and Hunting Martin John Katumbi amesema kuwa hizi ni faida za wanyamapori hivyo wanawajibu kuzirejesha kwa wananchi wenyewe ili ziwasidie katika shughuli mbalimbali hivyo amesema watendelea kutoa misaada na pia ameomba ushirikiano kutoka ofisi ya Mkuu wa Wilaya pamoja na ofisi ya Taasisi ya Wanyamapori TAWA.



Picha mbalimbali wakati Mkuu wa Wilaya akikabidhi viti mwendo kwa watu wenye mahitaji maalumu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.