• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Katibu Tawala Bi Bohari Afungua Msimu wa Korosho Liwale

Imewekwa:: October 13th, 2023

Katibu Tawala wa Wilaya ya Liwale Bi Azilongwa Mwinyimvua Bohari amefungua kikao cha ufunguzi wa msimu wa zao la korosho katika katika ghala la Umoja akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ambapo katika kikao hicho ambacho kimehudhuruwi na wajumbe mbalimbali wakiwemo wajumbe wa vyombo vya ulinzi na usalama, waafisa ugani, viongozi wa vyama vya msingi pamoja na maafisa kilimo na pia maafisa Ushirika.

Katika kikao hicho Bi Bohari amewataka viongozi wa vyama vya msingi kuhakikisha wanakuwa waadilifu na kusimamia sheria na miongozo inayo wataka ili kuhakikisha wakulima wananufaika na kuacha kufanya mambo ya hovyo ikiwemo kuwadhulumu wakulima na kuwacheleweshea malipo yao bila sababu za msingi Serikali haipo tiyari kuona mkulima ananynyasika na hivyo tutawashughulikia viongozi wote wa vyama vya msingi atakaye fanya hivyo.

Pia Bi Bohari amewataka viongozi wa vyama  vya msingi kuwa na vikao vya tathimini kila baada ya msimu ilikujua matatizo yanaanzaia wapi ili yawezekurekebishwa na pia kuangalia sifa za kiongozi kabla ajaajiriwa katika vyama vya msingi pia kwa upande mwingine amewasisitizia maafisa ugani kuhakikisha wanatoa elimu ya kutosha kwa wananchi hususa katika vijiji ili wawe na uwelewa mpana katika kuchambua korosho na kujua mchakato mzima unaendaje mpka mzigo kufika ghalani.

Aidha amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwa makini katika msimu huu wa korosho kuhakikisha wanapambana na wale wote wenyenia ya kuwaibia wakulima au kuwadhulumu hivyo sheria itachukua mkondo wake kwa kiongozi yeyote atakaye fanya hivyo kwani baadhi ya viongozi wengi  wa vyama vya msingi wamekuwa na matukio hayo na pia amewambia wakulima wote kuwa ofisi ya Mkuu w Wilaya iko wazi kwa mkulima yeyote atakaye dhulumiwa afike ofisini.

Kwa upande mwingine Bi Bohari amewakumbusha watumishi wote hususa maafisa kilimo pamoja na maafisa ugani kuwa wanathamini michango na tozo ambazo wanakatwa wakulima kuwa ndizo zimekuwa zikileta maendeleo katika nyanja mbalimbali ikiwemo elimu, afya, miundombinu na kwingineko kote pia amekitaka chama kikuu Runali kuhakikisha kinasimamia vyama vya msingi ili viweze kutekeleza majukumu yake  na pia kwenye vyama vya msingi atakaye fanya kosa lolote lile la kufoji nyaraka au udanganyifu na kusababisha hasara basi atashtakiwa  na kushughulikiwa yeye mwenywe na sio chama na atalipa gharama zote.

Aidha vyombo vya ulinzi na usalama vya Wilaya ya Liwale  vimewakumbusha  viongozi wote wa vyama vya msingi, maafisa ugani na makarani kuhakikisha wanatimiza majukumu yao na kuacha kufanya vitendo vya udanganyifu au kudhulumu, na kuchelewesha malipo  kwa  wakulima basi ajue atashughulikiwa kikamilifu bali wakafanye kazi zao kwa umakini ili tuweze kujenga taifa letu kwa pamoja.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.