• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Katibu Tawala Bi Bohari azindua Zahanati Turuki

Imewekwa:: September 6th, 2023

Katibu Tawala wa Wilaya ya Liwale Azilongwa Mwinyimvua Bohari amefungua jengo la Zahanati ya kijiji cha Turuki kata ya Mihumo lenye thamani ya shilingi milioni 121,025,500 ikiwa ni mapato ya ndani, Halmashauri ya wilaya pamoja na Serikali Kuu.

Ambapo mchanganuo wa mapato ya kijiji ya ndani yatokanayo na misitu ni Tshs 61,025,500 pato kutoka Halmashauri ya Wilaya 10,000,000 na pato kutoka serikali kuu ni 50,000,000 ambayo ya mekamilisha ujenzi huo wa zahanati ya Turuki.

Hayo yamejiri katika uzinduzi huo ulijumuhisha viongozi mbalimbali wa Kiserikali na Chama Tawala pamoja na wananchi wa kijiji cha Turuki kwa kwakusherehesha na vikundi mbalimbali vya ngoma za asili pamoja na kwaya na wanamuziki wa singeli katika sherehe hiyo.

Akizungumza katika sherehe hiyo mgeni rasmi Katibu Tawala wa Wilaya baada ya kusomewa risala na jumbe tofautitofauti kupitia vikundi vya sanaa ambavyo vilipata nafasi ya kutumbuiza pamoja na maneno ya viongozi wa Kata hiyo akiwemo Diwani wa Kata hiyo Mheshimiwa Chowe Rashid Chowe amewapongeza wananchi wa Turuki kwa kujitoa kuanzisha Zahanati kwa nguvu zao  pamoja na serikali kwa kukamilisha ujenzi huo wa zahanati ambao utakwenda kutoa huduma kijijini hapo.

‘’Niwapongeze wananchi wa Turuki pamoja na viongozi wenu wa kijiji na Kata kwa kuwa pamoja kwenye ujenzi huu wa Zahanati, najuwa kuna changamoto ya maji na tembo ivyo niwaombe kuchukua taadhari zote ambazo zinaelezwa ikiwemo na zajadi na kuusiana na maji Serikali imetenga bilioni 5 kwaajili ya kuchimba visima na kumaliza tatizo hilo lakini pia tutaongeza watumishi ili kukizi mahitaji’’

Aidha Ndugu Bohari Pia amewaomba wananchi kuishi vizuri na muhudumu wa Afya ambae yuko kituoni hapo na kuwataka kuvitumia vizuri vipaji ambavyo wakonavyo kama vilivyooneshwa, lakini pia akampongeza Rais Daktari Samia Suluhu Hassani kwa kazi kubwa anayoifanya kuijenga Tanzania.

Kwa upande wake Mganga mkuu wa wilaya Daktari Glory Endrw akusita kuwasisitiza wamama wajawazito kuwahi kliniki na watoto wakapate chanjo’’Akina mama nawasisitiza kuwai kiliniki pale ambapo unakuwa na ujauzito ili kumnusuru Mtoto na Mama na kuepusha vifo vya mama na Mtoto pia Watoto wakapatiwe chanjo ili kujikinga na magonjwa kama vile suruwa, tetekuwanga na mengineyo’’

Hata hivyo Diwani wa kata ya Mihumo ameushukuru uwongozi wote wa Wilaya chini ya Mkuu wa Wilaya ya Liwale Goodlick Mlinga pamoja na Mkurugenzi  Mtendaji Ndugu Tina Sekambo kwa juhudi zao ambazo zimesaidia kumaliza jengo hili ambalo litahudumia zaidi ya wakazi 955 wa Turuki na leo tunafuraha kubwa kuona Turuki kuna zahanati maana niliwaaidi wakati nakuja kuomba kura 2020 na nimetimiza ahadi yangu na kutimiza ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM.







Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI

    October 30, 2024
  • UKAGUZI WA UTEKELEZAJI WA KUTENGWA, KUPIMWA NA KUMILIKISHA WAFUGAJI MAENEO RASMI KWAAJILI YA ZOEZI LA UFUGAJI KATIKA KATA YA KIMAMBI.

    October 25, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.