• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Katibu Tawala Bi Bohari Haitimisha Siku ya Walimu Liwale

Imewekwa:: October 13th, 2023

Katibu Tawala wa Wilaya ya Liwale ndugu Bi Azilongwa Mwinyimvua Bohari amehitimisha kilele cha siku ya Walimu duniani ambapo shamrashamra hizo zimefanyika katika uwanja wa Shule ya msingi Kambarage kwa kupambwa na maandamano na michezo mbalimbali ikiwemo kufukuza kuku, kuruka kamba pamoja mpira wa miguu.

Bi Bohari amewapongeza walimu kwa kazi kubwa wanoyoifanya ya kuhakikisha wanawafundisha watoto wetu na kuibua vipaji vyao ambavyo wengi wetu tulipo hapa ni jitihada za walimu wetu hivyo hatuna budi kuwashukuru na pia katika siku hii ya leo ni vyema pia tukakumbushana majukumu yetu ya msingi kama walimu.

Bi Bohari amewataka walimu kuendelea kuwa walezi wa watoto wetu kwani muda mwingi wamekuwa wakishinda na watoto wetu siku nzima na kuwafundisha hivyo ni vyema na tunajivunia kuwa na walimu ambao wanathamini kazi zao kwani kumekuwa na walimu waadilifu ambao wanatimiza majukumu yao na wapo ambao wanatabia za ovyo ikiwemo ulevi na hata matendo ya hovyo kama vile kuwataka watoto kingono hivyo tunawataka walimu hawa wabadilike.

Hata hivyo Serikali bado iko pamoja   na nyie walimu katika kuhakikisha inaboresha maisha ya mwalimu imekuwa inajenga nyumba za watumishi hususa nyumba za walimu katika maeneo tofauti tofuti ili tu kuhakikisha mwalimu anapata sehemu nzuri ya kuishi na pia Serikali inaendelea kuboresha madarasa na kujenga Shule mpya nyingi ili kuhakikisha walimu wanakuwa na mazingira mazuri ya kufundishia watoto wetu.

Kwa upande wa changamoto zinazo wakabili walimu bado Serikali imeendelea kuyafanyia kazi na pia  imekuwa ikajiri walimu kila mwaka ili kuhakikisha changamoto ya uhaba wa walimu inapungua katika Wilaya yetu hata hivyo Katibu Tawala Bi Bohari amewataka walimu kuachana mikopo kausha damu  au kuchukua mikopo siyokuwa natija jambo linalopelekea mwalimu kuishi kwa shida na mateso hivyo tuombe taasisi za kifedha  ziwe zinatupa elimu kabla ya kukopa na pia tujue je kuna umuhimu wa kukopa na chama cha walimu CWT kina jukumu la kusaidia walimu kuondokana na hili jambo.





picha za matukio mbalimbali katika siku ya kuhitimisha siku ya walimu duniani.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.