• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mh. Mlinga Ashiriki Siku ya Sheria Nchini

Imewekwa:: February 1st, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga ameshiriki katika kilele cha siku ya Sheria nchini (Law Day) sherehe hizo hufanyika 01 ya mwezi Februari kila mwaka.

Maadhimisho hayo yamefanyika katika viwanja vya Mahakama Wilaya ya Liwale na kuhudhuriwa na Wakuu wa Idara mbalimbali Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wananchi na Watuishi wa Mahakama.

Sherehe hizi zilitanguliwa na wiki ya Sheria nchini iliyo anza kuazimishwa kuanzia january 24 hadi 30 2024 kwa kutoa elimu na msaada wa kisheria kwa wananchi wa Wilaya ya Liwale na viunga vyake ambapo watu mbalimbali waliweza kufikiwa na kuhudumiwa wiki ya Sheria mwaka 2024 imeadhimishwa ikisindikizwa na kauli mbiu isemayo “Umuhimu wa Dhana ya Haki   kwa Ustawi wa Taifa Nafasi ya Mahakama na Wadau Katika Kuboresha Mfumo Jumuishi wa Haki Jinai”.

Katika kuadhimisha kilele cha siku ya sheria nchini Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga ameiyomba Mahaka kuhakikisha inatoa haki na kwa haraka kusiwepo na sababu ya kesi kucheleweshwa Mahakamani kwani kesi nyingi zimekuwa zikichukua mda mrefu hivyo kufanya wananchi kupoteza imani na Mahakama zetu.

Mheshimiwa Mlinga ameiyomba Mahakama pia kuhakisha inasaidia kutoa elimu hususa kwa wafugaji na wakulima kuko kumekuwa na migogoro husasa kipindi hiki cha kilimo hivyo Mahakama isaidie kutoa elimu watu waweze kuelewa na pia upande wa mirathi Mahakama itusaidie kuelimisha jamii ili kuondoa mgogoro tumeona familia nyingi zinapoteza mwelekeo kwa sababu ya mirathi hivyo Mahakama mtusaidie ili jamii iweze kuelewa.

Pia Mheshimiwa Mlinga amewataka wananchi kuhakikisha wanashirikiana na Mahakama kwani mahakama ni chombo muhimu sana na ndio kinachotoa haki hivyo pale tunapokuwa na matatizio ya kisheria tuweze kufika mahakamani na tupewe huduma pamoja na haki pia.






Picha mbalimbali katika siku ya maadhimisho ya siku ya sheria nchini ambayo imefanyika katika  Mahakama ya Wilaya ya Liwale na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali ikiwemo Vyombo vya ulinzi na usalama wilaya, watumishi wa mahakama, wakuu wa idara mbalimbali, wananchi pamoja na wadau wa sheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.