• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mh. Mlinga Azindua Kituo cha Afya Kata ya Ngongowele

Imewekwa:: October 7th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amezindua kituo cha afya cha Ngongowele ambao ujenzi wake umegharimu jumla ya shilingi milioni 263,700,000 ambayo fedha kutoka Serikali kuu ni jumla ya 250,000,000 na shilingi milioni 13,700,000 ni kutoka katika Serikali za vijiji vya Ngongowele, Ngunja, na Mikuyu.

Kituo cha afya cha Ngongowele kimekamilisha majengo mawili ya OPD na Maabara ambayo itasaidia kuimarisha huduma za afya  lakini pia itaunganisha  vijiji na Kata jirani kama Lilombe, Mpigamiti, kuweza kupata huduma katika kituo hicho cha Afya cha Ngongowele

Mheshimiwa Mlinga mewasisitiza wananchi pamoja na watumishi kuhakikisha wanalinda majengo na kutunza vifaa tiba ili wananchi waweze kupata huduma bora na pia amewataka wananchi kuwatunza watumishi wa afya kwani kufanya hivyo kutawafanya wasihame katika vituo vyao vya kazi

Pia amewataka wananchi wa Kata ya Ngongowele kuhakikisha wanachangia pindi wanapopata huduma katika kituo hicho ili kiweze kujiendesha kwa vitu vile vidogovidigo licha ya  hilo pia amewakumbusha watumishi kuwa na ushirikiano mzuri na wananchi, na viongozi wa vijiji na Kata wanao wakuja kupata huduma katika kituo hicho cha afya na pia kituo kitoe huduma kwa Kata zote za jirani bila upendeleo

Aidha Mheshimiwa Mlinga amewahakikishia wananchi wa Kata ya Ngongowele kuwa Serikali ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwahudumia kwa kuwapa vifaa tiba ambapo mpaka sasa Serikali imetoa milioni 200 kwajili ya kununua vifaa na pia kuna miradi mbalimbali inaendelea katika kata hii ya Ngongowele ikiwemo maji, umeme na barabara hivyo tuendelee kuinga mkono serikali yetu kwa huduma inazotupatia.

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga akifungua Kituo cha Afya cha Ngongowele.




Baadhi ya picha mbalimbali katika  matukio ya ufunguzi wa Kituo cha  Afya Ngongowele.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.