• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mh. Pinda Aweka wazi juu ya Muwekezaji Kichonda

Imewekwa:: October 13th, 2023

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi Mheshimiwa Geofrey Pinda amekutana na wakazi wa Kijiji cha Kichonda Wilaya ya Liwale na kuwasikiliza katika kuamua juu ya muwekezaji ndugu Msosa Kasimu Said kupewa hekari 1,000 katika Kijiji hicho ili aweze kufanya shughuli za uwekezaji katika kilimo cha alizeti na kuzalisha mbengu za zao la alizeti.

Mheshimiwa Pinda ameanza kwakufanya kikao cha ndani na Viongozi wa kijiji cha Kichonda ili kutambua uhalali na kupitia mikataba ambayo wameingia baina ya mwekezaji na kijiji na kupitia na kujiridhisha na pia kuwasikiliza wanakijiji maoni yao juu ya mwekezaji huyo katika Kijiji cha Kichonda.

Aidha Muheshimiwa Pinda aliwakumbusha wanakijiji wa Kichonda pamoja na muwekezaji juu ya kufuata na kutekeleza yale yaliyo katika mkataba katika kusaidia jamii ikiwemo kuchimba visima viwili vya maji, kujenga ghala la kijiji la kuhifadhi mazao, kujenga wodi ya kina mama hivyo kuhakikisha hayo yote yanatekelezwa kama yalivyo hainishwa napia Waziri Pinda amemtaka muwekezaji kufuata makubaliano na kuomba maamuzi kwa wanakijiji ili mwekezaji apate ardhi.

Pia Mheshimiwa Pinda amesimamia zoezi la upigaji kura ya wazi juu ya wanakijiji cha Kichonda   kumkubali muwekezaji apewe ardhi ili aendelee na shughuli za uwekezaji katika kijiji hicho. Hata hivyo baada ya wananchi wa kijiji cha kichonda kupiga kura ya wazi Mheshimiwa Pinda amesema kuwa “baada ya zoezi hili la wanakijiji kupiga kura kukamilika basi taratibu nyingine zitaendelea katika ngazi mbalimbali mpaka kufikia ngazi ya Wizara ili kukamilisha taratibu hizo ili mwekezaji aweze kupata eneo la uwekezaji”.

Kwa upande mwingine Mheshimiwa Pinda amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale kuhakikisha anakutana na Waheshimiwa Madiwani katika baraza la dharula ili kuhakikisha na wao wanangalia kama muwekezaji anafaa na kukidhi vigezo ili kuweza kuendelea na taratbu nyingine katika kukamilisha zoezi hilo.

Pia Mheshimiwa   Pinda amemtaka muwekezaji kuhakikisha kuwa kuyatimiza yale yote waliyo kubaliana na yaliyopo kwenye mkataba na pia ikiwemo la ushirikiano baina ya muwekezaji na Chuo cha Kilimo cha Sokoine SUA ili taribu nyingine ziendeelee.

baadhi ya wakazi wa kijiji cha Kichonda  wakimsikiliza Naibu waziri wa Ardhi Mheshimiwa Geofrey Pinda katika mkutano ili kumpitisha muwekezaji.




Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.