• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mheshimiwa Mlinga Akutana na Wavunaji wa Mazao ya Misitu

Imewekwa:: October 24th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amekutana na wafanyabiashara wa mazao ya misitu   akiwataka wafanyabishara kufuata sheria na kanuni katika uvunaji na pia kulipa tozo zote ambazo zinatokana na mazao hayo ya misitu hayo yamejiri katika kikao ambacho kimefanyika leo kati ya wafanyabiashara hao pamoja na Mkuu wa Wilaya.

Katika kikao hicho Mheshimiwa Mlinga amewambia wafanyabiashara wa mazao ya misitu kuwa misitu ni mingi ndani ya Wilaya ya Liwale ila mapato ni madogo ambayo ayaendani na misitu inayovunwa ndani ya Wilaya hii hivyo ni kwamba wafanyabiashara wengi amlipi tozo za mazao ya misitu kwenye taasisi husika hivyo amewataka wale wote ambao awajalipa tozo zote na leseni zao walipie mara moja kwani mapato hayo ndio yanasaidia kuleta maendeleo.

Mheshimiwa  Mlinga pia amewataka wale wote ambao wanatumia leseni za uvunaji ambazo sio zao  wakate leseni zao  mara moja kwani hawa wamekuwa ndio wakichangia kupotea kwa mapato kutoka na kutofuata utaratibu na hawa amekuwa pia wakizirubuni kamati za maliasili za vijiji kukiuka utarabu ambao upo hivyo kusababisha upotevu wa mapato hivyo ili kuendele na uvunaji kila mmoja awe na leseni yake mwenyewe leseni moja haiwezi ikatumiwa na zaidi ya mtu mmoja.

Aidha Mheshimiwa Mlinga amewataka wavunaji wote kuvuna kwenye eneo ambalo amepewa na sio kuongeaza eneo kwa kuwarubuni kamati za maliasili za vijiji kwani asilimia kubwa hawana uwelewa hivyo wafanyabiashara wanatumia mwanya huo ili kupata sehemu kubwa ya kuvuna kinyume na utaratibu, pia amewataka wale wote ambao leseni zao zinasoma majina yao na awajalipia hivyo walipe pesa zote ambazo wanadaiwa ili kuendelea na uvunaji.

Kwa upande mwingine pia Mheshimiwa mlinga amewataka wavunaji  ya misitu kuhakikisha wanafuta taratibu ambazo zipo ikiwemo za wakala wa misitu Tanzania TFS pamoja na zile za Halmashauri  na pia kuacha kuchana magogo ambayo ayajagongwa kwani kufanya hivyo ni kuhiujumu Serikali katika kukusanya mapato pia Mheshimiwa Mlinga amepiga marufuku kwa wavunaji wote na wamiliki wa viwanda kuacha kusafirisha magogo  na kuchana nyakati za usiku  inahatarisha   usalama wa raia na pia wavunaji wanasafirisha magogo ambayo ayajakaguliwa na kugongwa.

Baada ya kuzungamza hayo Mheshimiwa Mlinga amebaini kuwa viwanda vingi vinaingiza magogo ambayo ayajagongwa na kukaguliwa na mamlaka husika hivyo wafanyabiashara wakwepa kulipa ushuru “ukizunguka katika viwanda vingi utakuta magogo ambayo ayajakaguliwa na pia ambayo yanasfirishwa usiku mengi yapo hivyo na mengi tumeyakamata katika viwanda hivyo tunawashihi wafanya biashara fateni utaratibu na sheria”.

Pia kwa upande wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina Sekambo amewataka wavunaji kuvuna kutokana na leseni yako inavyosema sio vyema kwenda kinyume na leseni ukifanya hivyo ni kosa na pia ni kuipotezea Serikali mapato, pia amewataka kuendelea kutumia mifumo ya ulipaji ambayo ipo kwani Serikali inafanyia kazi na kuendelea kuboresha mifumo ila tufute sheria zinavyo sema.


Mkuu wa wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga akizungumza na wavunaji wa mazao ya misitu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2025
  • MAKALA YA MAFANIKIO YA HUDUMA ZA JAMII NA MIUNDOMBINU NDANI YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA LIWALE. December 07, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YATOA JUMLA YA MKOPO WA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 773,523,370.00 KWA VIKUNDI 201 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    June 08, 2025
  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.