• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mkurugenzi Awafunda Watumishi Liwale

Imewekwa:: September 29th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina Sekambo amefanya kikao na watumishi wote lengo likiwa ni kusikiliza changamoto zao na kuzitatua ili kuongeza ufanisi wa kazi na kuleta tija kwa Serikali na kuongeza chachu ya kuwahudumia wananchi.

 Mkurugenzi amewataka watumishi kuwa na upendo kaitka maeneo ya kazi kwani kupendana kwa watumishi kunasaidia kuongeza ufanisi na utendaji wakazi utaimarika na hata pia fitna hazitakuwepo na hivyo kazi zitafanyika kwa weledi na ufanisi mkubwa., pia ameongeza watumishi kuwa wabunifu katika idara zao na maeneo yao ya kazi na badala yake waondoe dhana ya kuwa walalamikaji “ tukiwa wabunifu kila mtu atatimiza majukumu yake kwa wakati na matokeo yataonekana hivyo tuache kulalamika bali tuwe watendaji”.

 Hata hivyo Mkurugenzi amewataka watumishi wote wa umma kuhakikisha wanaisaidia Serikali na kufanya kazi kwa bidii ili iweze kufikia wananchi wote kwakutoa huduma bora kwa wannchi kwa kutimiza majukumu ambayo wamepewa katika idara zote ambazo zipo hapa kwenye Halmashauri lengo ni kutimiza wajibu wako ili wannchi wapate huduma bora.

Aidha Mkurugenzi amewataka watumishi kuwa wadilifu katika kazi zao na kuhakikisha wanadhibiti matumizi ya simu pindi wanapokuwepo kwenye ofisi za umma na badala yake watumishi wajikite katika kutoa huduma na kusikiliza wananchi na kuwa wabunifu katika idara zao.

Kwa upande mwingine nae Afisa utumishi ndugu Kalokola Kasimbazi amewahasa watumishi kuzingatia sheria, taratibu na kanuni za utumishi wa umma, na kuwa waadilifu kwa kutii Mamlaka na kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kuwahi kazini mapema, kuvaa mavazi ambayo yanaendana na mtumishi wa umma pia kudhibiti matumizi ya ulevi pamoja na madawa ya kulevya katika maeneo ya kazi

Pia awewataka watumishi kuacha kutoa siri na nyaraka za Serikali  kwani kufanya hivyo ni kosa napia nikugombanisha kati ya Serikali pamoja na wannchi hivyo sio kitu  kizuri na atakaye bainika basi atachukuliwa hatua za kiutumishi pia amewakumbusha kujiepusha na masuala ya kupokea au kutoa rushwa ni kosa kisheria  hivyo kila mtu akitimiza wajibu wake basi tutaisaidia Serikali na pia tutaweza kutoa  huduma bora kwa wannchi wetu na jamii yetu.

Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale wakifatilia kwa karibu maagizo ya Mkurugenzi katika kikao cha kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.