• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa Wilaya Afanya Ziara Kata ya Liwale B

Imewekwa:: October 6th, 2023

 Mkuu wa wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amefanya ziara wiki hii katika Kata ya Liwale B amabapo amekagua miradi ya maendeleo pamoja na kufanya mikutano ya hadhara katika vijiji vya Mikunya, Legeza mwendo, na Tuungane ili kusikiliza kero mbalimbali zinazo wakabili wananchi wa Kata hiyo.

Mheshimiwa Mlinga amewataka wananchi kuwa na ushirikiano na Serikali kwani kero zote amezichukua na atazifanyia kazi na pia waendelee kuwa na imani juu ya Serikali yao inayoongonzwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwani imekuwa sikivu na inafanya kazi kwa vitendo.

Akijibu kero za wananchi Mheshimiwa Mlinga amesekuwa suala la wanyama waharibifu tembo Serikali imeendelea kupambana nalo kwa nguvu zote ikiwemo kutumia askari wa wanyama pori na taasisi nyingine ili kudhibit tembo licha ya hilo Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani imeleta mradi mpya wa giz ambao utasaidia kutoa mafunzo ya jinsi kupambana na wanyama hao kwa kutoa mafunzo kwa vijana ambao watachukuliwa na kwenda kufundishwa pamoja nakutoa vifaa ambavyo vitasaidia kupambana na tembo sambamba na hilo pia amewakumbusha ahadi ya Mheshimiwa Rais juu ya kulichukua jambo hilo katika ngazi ya kitaifa hivyo tuendelee kusubiri mkakati huo.

Aidha Mheshimiwa Mlinga amewataka viongozi wote wa Vijiji na Kata kuwa na daftari litakalo kuwan a rekodi za waathirika wa wanyama kwani wananchi wengi wamekuwa awaelewi taarifa zao zinpotelewa wapi hivyo ni lazima kuwe na daftari litakalo chukua taarifa zote za msingi za mlalamikaji.

Aidha kutakuwa na mradi wa nyuki ambao utatambulishwa hivi karibuni ambao utatusaidia kupambana na tembo napia utatuongezea kipato kutokana na kuuza asali itakayo zalishwa katika mradi huo ambao unaenda kuanza hivi karibuni.

 Pia Mheshimiwa Mlinga amewataka viongozi wote wa vyama vya ushirika kuhakikisha wanawalipa wakulima wote pesa zao  na kuacha kusababisha hasara kwa wakulima  na ambao wanaendelea na mchezo huo basi  Mkuu wa Wilaya amesema atawashughulikia kwani hayupo tiyari kuona wakulima wanachezewa sambamba na hilo nikuhakikisha kila mkulima anapata pembejeo  bure kama Serikali inavyotoa hivyo mwananchi atakaye tozwa atoe taarifa.

Kwa upande wa mifugo Mheshimiwa Mlinga amemshukuru Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Mohamed Mtesa pamoja na Baraza lake la Madwani kwa kupitisha sheria ya kudhibiti mifugo katika Wilaya ya Liwale hivyo amewakumbusha wenyeviti wa Vijiji na Watendaji wa  Kata kuhakikisha wanazitumia sheria hizo pindi wafugaji wanapovamia mashamba hayo au maeneo ambayo siyo kwajili ya ufugaji.

Pia Mheshimiwa Mlinga amemtaka meneja wa Ruwasa Wilaya ya Liwale kuhakikisha mkandarasi anapatikana haraka sana ili afanye kazi kwa haraka ili wananchi wa Kata hii ya Liwale B na vijiji vyake wapate maji safi na salama kwani tiyari Serikali ishatoa pesa.

Mkuu wa Wilaya Goodluck Mlinga pia amewashukuru wananchi wa Kata ya Liwale B kwa kujitokeza kwa wingi katika ziara ya Mheshimwa Rais Samia Suluhu Hassan Wilaya ya Liwale wiki mbili zilizopita kwani kufanya hivyo kuomeonesha ni jinsi gani tunampenda Rais wetu.





Baadhi ya wananchi wa Kata ya Liwale B wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodlack Mlinga katia ziara ya Kata hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.