• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

TASAF Liwale ya Gawa Ruzuku kwa Walengwa na Kutoa Elimu

Imewekwa:: March 26th, 2024

TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Liwale imefanya zoezi la kugawa ruzuku kwa walengwa wa kaya maskini kwa vijiji vyote ikiwa ni dirisha la mwezi November na Desember na kuwapa elimu mbalimbali ambazo zitasaidia kujikwamua kiuchumi.

Walengwa wamefundishwa jinsi ya kuzuia ukatili wa kijinsia na kuwahabarisha walengwa kuripoti na kuzuia masuala ya ukatili wa kijinsia hata hivyo wameelezwa jinsia inachangia kuwepo na usawa kati ya mwanaume na mwanamke katika mgawanyo wa majukumu ya kijamii, kiuchumi, na kiutamaduni.

Kutokuwepo na usawa baina ya wanawake na wanaume huzuia ukuaji wa uchumi na maendeleo ya kijamii ni vigumu kuondoa umaskini bila kuanzisha mahusiano sawa baina ya wanawake na wanaume, pia walengwa wamefundishwa aina ya ukatili ikiwemo ukatili wa kimwili, ukatili wa kingono, ukatili wa kisaikolojia, ukatili wa kiuchumi na ukatili wa kiafya pia TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Liwale imeendesha zoezi la kuchagua watu mahususi watakao shughulika na masuala ya ukatili wa kijinsia na majukumu yao.

Aidha walengwa wote ambao wanapokea fedha za ruzuku wamehamasishwa kuingia na kutumia  katika malipo ya kimtandao ikiwemo kutumia mabenki pamoja na mitandao ya simu ili kuweza kurahisisha malipo kwa walengwa hata hivyo Halmashauri ya Wilaya ya Liwale imefikia asilimia 47% za walengwa ambao wanatumia mitandao ya simu na mabenki kupokelea fedha zao na lengo likiwa ni asilimia 50% ifikapo mwakani.

Hata hivyo Afisa ufatiliaji TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Bwana Prosper Malebo amewataka walengwa ambao wanapokea ruzuku kwaajili ya kunusru kaya maskini kuhakikisha walengwa wanajikita katika uzalishaji ikiwemo kufuga, kuanzisha vikundi kwa ajili ya kukopeshana na pia kuhimizana watu kufanya kazi na kuweka akiba ili kuweza kupunguza umaskini.




Badhi ya walengwa wa ruzuku ya kunusuru kaya maskini wakipokea fedha na kupewa elimu mbalimbali ili kuweza kujikwamua na umaskini.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.