• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

"Wafugaji na Wakulima waondoke kwenye Hifadhi DC Mlinga"

Imewekwa:: July 10th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodlack Mlinga pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya wakitekeleza agizo lake la kuwaondoa Wakulima na Wafugaji eneo la Hifadhi ya wanyamapori Magingo Liwale (WMA.Wildlife Management Area) agizo hilo alilitoa katika Mikutano ya Vijiji  ambapo Kijiji cha Mirui alilitoa  tarehe 11/5/2023 na Kijiji cha Kimambi  12/5/2023.

Katika kuwaonda Wakulima na Wafugaji Mheshimiwa Mlinga ameshuhudia  makundi makubwa ya ngombe ndani ya hifadhi ya Magingo jambo linalo hatarisha kuhama kwa Wanyamapori na hata uoto wa asili kupotea na pia kuchangia kwa kiasi kikubwa cha uwaribifu wa mazingira ndani ya hifadhi .

Aidha Mkuu wa Wilaya amejionea baadhi ya wafugaji wakiwa wemeanzisha makazi na kujenga maboma na Mazizi ndani ya hifadhi  pia wameanzisha mashamba makubwa kwajili ya shughuli za kilimo na pia wamechimba kisima cha maji ndani ya hifadhi jambo linalo hashiria kuwa shughuli za kibinadamu ni nyingi ndani ya hifadhi.

Pia Mkuu wa Wilaya baada ya ukaguzi wa maboma ya wafugaji  ameshuhudia kuwepo na mitego pamoja na pembe ya mnyamapori aina ya  Seble (Antelope) ambapo hizo “amezitaja kuwa ni nyara za Serikali ambapo amebaini kuwa licha ya kuwa wafugaji ndani ya hifadhi pia wapo ambao wanajiusisha na shughuli za ujangili kwenye hifadhi”.

Mkuu wa Wilaya mheshimiwa Mlinga ametoa rai kwa wafugaji wote na wakulima kuondoka mara moja katika hifadhi ya Wanyamapori ya Magingo na kwenda kwenye maeneo ambayo yametengwa kwajili ya ufugaji na kilimo katika Wilaya ya Liwale  kwani wakiendelea kubaki katika hifadhi  sheria itachukua mkondo wake hivyo waondoke kwa hiyari yao.

Kwa upande wa Afisa Wanyamapori Wilaya ya Liwale ndugu Shigela Jilada  amesema ni” vema wananchi waliovamia kuondoka na kuyaacha maeneo hayo ili Serikali iweze kupata wawekezaji wawindaji wa kitalii pia amepongeza kwa baadhi ya wafugaji kuitikia wito wa Mkuu wa Wilaya wa kuhama katika maeneo hayo ya hifadhi”.

Nae Afisa  Maliasili na Uhifadhi Mazingira  Wilaya ya Liwale Damas Mumwi amezitaka jumuiya zote wapake rangi kuzunguka mipaka  eneo la jumuiya  ili kutenganisha  hifadhi na maeneo ya siyo hifadhi, pia kuweka mabango yanayo tambulisha hifadhi,  pia kuweka mawe ya mipaka kwenye kona zote za  hifadhi, pia awewataka  wananchi wa  maeneo hayo kutekeleza agizo la mkuu wa wilaya  kuondoka ndani ya hifadhi  kwa hiyari yao kabla Serikali ijatumia nguvu kuwaondoa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.