• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI

09 October 2023

TANGOZO LA MNADA.pd

 

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS 

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE

 

Simu Na.      0737-187605                                                                                                                      Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (W),

Nukushi:       0737-187605                                                                                                                       S.L.P 23,

Barua Pepe: ded@liwaledc.go.tz                                                                                                                LIWALE.

                                                                                       .

Kumb Na. LW/DC/T.20/4/52                                                      06.10.2023

 

TANGAZO 

Wananchi wote mnatangaziwa kwamba Halmashauri ya Wilaya Liwale inatarajia kuuza magari 3 na pikipiki 25 kwa njia ya mnada wa hadhara utakaofanyika maeneo ya Halmashauri ya Liwale kama ifuatavyo:-

ORODHA YA MAGARI

S/N

AINA YA GARI

IDADI

1

TOYOTA LAND CRUISER

02

2

NISAN S/WAGON

01

 

JUMLA YA MAGARI

03

 

ORODHA YA PIKIPIKI

S/N

AINA YA PIKIPIKI

IDADI

1

YAMAHA AG 200

9

2

SUZUKI TF

1

3

YAMAHA YBR 125

11

4

HONDA XR 125L

1

5

HONDA XL

1

6

HONDA CG 125L

2

 
JUMLA YA PIKIPIKI

25

 

MASHARTI YA MNADA

 

  • Gari/ Pikipiki itauzwa kama ilivyo mahali ilipo
  • Mnunuzi atalazimika kulipa papo hapo amana (Deposit) isiyopungua asilimia ishirini na tano (25%) ya thamani ya gari/pikipiki alilonunua na kukamilisha malipo yote katika muda wa siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya mnada. Mnunuzi akishindwa kutimiza sharti hilo atakosa haki zote za ununuzi wa kifaa husika na amana aliyolipa awali haitorudishwa.
  • Mtu yoyote atakayetangazwa kuwa mshindi na akashindwa kulipa aslimia ishirini na tano (25%) ya bei ya gari siku yam nada atachukuliwa kuwa anavuruga utaratibu wa mnada na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
  • Mnunuzi atatakiwa kuondoa au kuchukua pikipiki/gari alilonunua katika muda wa siku saba (7) kuanzia siku ya kukamilisha malipo.
  • Mshindi wa mnada atakuwa na jukumu la kufanya malipo yote yanayohusiana na kodi ya gari alilonunua.
  • Ruhusa ya kuangalia na kukagua mali husika itakuwa katika muda wa kazi kuanzia saa tatu (3:00) asubui mpaka saa tisa (9:00) alasiri siku mbili kabla ya mnada kufanyika.
  • Mnada utaanza saa nne (4:00) asubui siku ya Jumamosi tarehe 14/10/2023.
  • Imetolewa na:

MKURUGENZI MTENDAJI

                                                                                                                                    HALMASHAURI YA WILAYA LIWALE.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI

    October 30, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.