• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Mlinga Afunga Mafunzo Jeshi la Akiba

Imewekwa:: November 23rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga leo amefunga rasmi mafunzo ya Jeshi la Akiba ambayao yalinza 14 july 2023 yakiwa na wanafunzi 132 ambapo wanawake 33 na wanaume 99 na kumalizika 22 novembar ambapo wahitimu ni jumla ya 85 wanawake wakiwa 19 na wanaume 66 mafunzo hayao yamechukua takribani wiki 18 ambapo wahitimu wamepata mafunzo mbalimbali.

Akizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya Meja GC Masinde ambaye ndiye Mshauri na Mkufunzi wa Jeshi la Akiba Wilaya ya Liwale amesema kuwa sababu za kupungua kwa vijana ni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo utoro, nidhamu mbaya, kutomudu changamoto mbalimbali za mafunzo  

Aidha Meja Masinde amesama kuwa shabaha ya mafunzo haya  yamekusudia kumtayarisha kila mwananchi katika utayari na utimamu wa Ulinzi wa Taifa  na ni kwa mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taifa namba 24 ya mwaka 1966 pia mafunzo haya yatawapa  uwezo askari  hawa kufanya kazi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama kwa weledi mkubwa na pia wamepata mafunzo ikiwemo silaha ndogondogo,utimamu wa mwili, vita vya msituni,  usomaji wa ramani, kwata mbalimbali, usalama wa taifa, ujanja wa porini na huduma ya kwanza.

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga katika kufunga mafunzo hayo amewapongeza askari wote walio hitimu mafunzo hayo kwani ni uzalendo mkubwa wameweza kuonesha kwa kipindi chote hicho ambacho wamejifunza na sasa wanarudi kwenye jamii hivyo watatumika kulinda jamii napia wataimarisha ulinzi na usalama wa vijiji vyetu.

Mheshimiwa Mlinga amewetaka askari hao kuhakikisha wanalinda kiapo ambacho wameapa na kuhakikisha wanakuwa watu wema na walinzi wa jamii  kwa kusimamia yale ambayo wamejifunza kwa wakati wote wa mafunzo na pia kuhakikisha wanashiriki katika kulinda  nakuwa kwenye Kamati za Ulinzi wa Kata na Vijiji katika maeneo yao.

Aidha Mheshimiwa Mlinga ameongeza kwa kuwataka askari  amabo wamehitimu mafunzo hayo ya Jeshi la Akiba kuhusika kwenye kuzuia kungia kwa mifugo ambayo inaingia katika Wilaya yetu  na Vijiji vyetu  na pia kuacha kutumia mafunzo hayo vibaya kwa kuwaonea wananchi  bali wakawe raia wema na kulinda jamii .

Hata hivyo Mheshimiwa Mlinga ametoa maelekezo kwa Taasisi mbalimbali ambazo zipo ndani ya Wilaya ya Liwale kuhakikisha zinatumia walinzi ambao wana mafunzo na kuwataka vijana wambao wamehitimu kupewa kipaumbele katika fursa ambazo zitatokea ikiwemo za ulinzi kwenye kampuni mbalimbali.

Kwa upande mwengine Mheshimiwa Mlinga mamtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kuwatumia askari hawa katika kulinda na kukusanya ushuru katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Liwale na pia kutenga bajeti kwa ajili ya kombati na viatu  na pia kusiwepo na mtu yeyote kuchangishwa  na pia kuhakikisha Taasisi nyingine kuwatumia askari hawa katika mambo mbalimbali.




Picha mbalimbali katika kufunga mafunzo ya Jeshi la Akiba Wilaya ya Liwale.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.