• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC Mlinga Atembelea Migodi ya Madini

Imewekwa:: April 9th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga na Kamati ya Ulinzi na Usalama amefanya ziara ya kutembelea migodi ya madini katika eneo la Kata ya Kibutuka kitongoji cha Kiomanilo, Kata ya Kiangara Kijiji cha Litou na Kata ya Mangirikiti Kijiji cha Ngorongopa.

Mheshimiwa Mlinga ametembelea nakujionea shughuli za uchimbaji wa madini mbalimbali ikiwemo Manganize, Beliriamu, Dhabu, Mabo, na madini ya Safaya ambapo Mheshumiwa Mlinga amesisitiza kuhakikisha Halmashuri inafatilia na kujua shughuli zote zinazofanyika ili iweze kukusanya mapato ambayo yanatokana na madini hayo.

Hata hivyo Mweshimiwa Mlinga ameitaka Halmashauri kufuatilia migodi yote na wamiliki wote wa leseni ambao wapo ndani ya Wilaya kujua Halmashauri inakusanya kiasi gani kutoka kwenye migodi hiyo, na pia kudhibiti wimbi la utoroshwaji wa madini ambayo yanaenda kuunzwa sehemu nyingine na kusababisha Halmashauri kupoteza mapato, na pia amewataka viongozi wa vijiji kuhakikisha wanafatilia mizigo ina yotoka katika migodi ili kuweza kupata uhalisia wa mizigo inayo toka kwenye migodi ambayao itasadia kutupa dira ya kukusanya mapato ya Halmashauri kwa uwakikia.

Mheshimiwa Mlinga amewataka viongozi wote wa vijiji kuhakikisha wanawasimamia na kuwafatilia wachimbaji wote ambao ni wakubwa yaani wawekezaji katika maeneo yao wanapata stahiki za vijiji na pia kufatilia ahadi ambazo walihaidi kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji wengi wa wawekezaji wamekuwa wakitoa ahadi lakini azitekelezeki hivyo tufatilie na pia viongozi wa vijiji tuisaidie Halmashauri iweze kukusanya mapato kwa kutoa taarifa sahihi.

Aidha Mweshimiwa Mlinga ametoa wito kwa wachimbaji wadogo wadogo kuhakikisha wanajisajili na kuwa na viongozi na vikundi ambavyo vinatambulika ili waweze kupata leseni zao na pia itasaidia kuepuka usumbufu wa kufukuzwa katika maeneo yao na wachimbaji wakubwa na pia kuwatambua watu ambao wanajishughulisha na uchimbaji na waalifu kumekuwa na watu wanafanya uhalifu na kukimbilia kujificha kwenye migodi hivyo tunawajibu wa kujuana ili tuweze kufanya kazi zetu kwa amani na utulivu.

Pia Mweshimiwa Mlinga amewataka wachimbaji wote wanapoenda kuuza madini katika Wilaya jirani wa hakikishe kuwa wanasema ni wapi wanachimba madini hayo kwani Wilaya ya Liwale imekuwa na wachimbaji wengi na madini mengi ya aina mbalimbali likini Halmashauri haipati ushuru wake kutokana na wachimbaji kutokutoa a taarifa za ukweli hivyo nilazima tusema kuwa madini haya yanatoka Liwale ili tuweze kupata ushuru wetu.





Picha mbalimbili katika ziara ya Mkuu wa Wilaya  Mheshimiwa Goodluck Mlinga na Kamati ya Ulinzi na Usalama  katika kutembelea migodi mbalimbali .

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.