• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Madiwani Wafanya Ziara Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika

Imewekwa:: December 29th, 2023

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale wamefanya ziara ya kwenda kujifunza biashara ya hewa ukaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi lengo ikiwa ni kuachana na biashara ya uvunaji wa magogo na kuingia katika biashara hiyo ili kuweza kukuza mapato ya Halmashauri.

Katika ziara hiyo   hili hudhuriwa na Waheshimiwa Madiwni, Mkuu wa Idara ya Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira Ndugu Deogratias Justus Simwanza, pamoja na Maafisa wengine ambao waliambatana hata hivyo madiwani wamewaza kupata elimu juu ya ufadhi wa misitu ya asili ambayo ndio uti wa mgongo katika biashara hiyo ya hewa ya ukaa na pia walijifunza namna biashara hiyo itakavyo ongeza mapato kwa Halmashauri na vijiji vitakavyo nufaika na miradi ya maendeleo kupitia biashara hiyo ya hewa ya ukaa.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Mohamed Mtesa “amesema kuwa wao kama Madiwani wanakazi kubwa ya kwenda kuifanya kwa wananchi wao kwa kuwapa elimu ambayo itawasaidia kuondoka kwenye biashara ya kuvuna magogo na kuanza kuhifadhi misitu ili vijiji viweze kuingia kwenye biashara hii ya hewa ya ukaa.

Tumeona wenzetu wa Halmashauri ya Tanganyika jinsi wanavyo pata mapato makubwa kiasi cha shilingi bilioni 17 kwa mwaka kutokana na kuhifadhi misitu kwa maana hiyo hata sisi Halmashauri ya Wilaya ya Liwale tunaweza kuhifadhi nakuingia kwenye biashara hii ambayo itakwenda kunufaisha Halmashauri na vijiji kwa kupata miradi ya maenendeleo ikiwemo madarasa, vituo vya afya na zahanati, nyumba za wahudumu wa afya na walimu pamoja na viongozi wa vijiji katika maeneo husika.

Pia Halmashauri ina nafasi kubwa ya kuwatumia wataalamu wake kuhakikisha wanasaidiana na madiwani kwa kuwapa elimu wananchi wetu juu ya umuhimu wa kuhifadhi misitu na pia kuanza kudhibiti uvunaji wa magogo ambao unafanyika katika vijiji vyetu kwa sababu biashara hii inahitaji tutunze misitu.

Hata hivyo Halmashauri ya Wilaya ya Liwale kwasasa ina kazi ya kuhakikisha kuwa misitu yote inayo milikiwa na Halmshauri ina pata utambuzi wa majira nukta na pia kutangaza katika gazeti la Serikali ili Halmashauri iweze kumiliki misitu yake kisheria na iweze kuingia kwenye biashara hiyo ya hewa ukaa.

Hata hivyo Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale wameshahuriwa kuhakikisha wanaelewa biashara hii ya hewa ya ukaa kwa undani zaidi kabla ya kuingia na pia kuelewa changamoto ya biashara hiyo na kuweka mikakati madhubuti ya usimamizi kabla ya  kungia mikataba na wanunuzi wa hewa ya ukaa.



Waheshimiwa Madiwani wakifatilia mafunzo ya biashara ya hewa ya ukaa kutoka kwa wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika.




Picha mbalimbali za ziara ya Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi katika kujifunza biashara ya hewa ya ukaa.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.