• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mheshimiwa Mlinga Azindua Baraza la Michezo Liwale

Imewekwa:: December 2nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimwa Goodluck Mlinga ametaeu Baraza la Michezo la Wilaya ya Liwale ambalo linashirikisha michezo mbalimbali lengo likuwa ni kuibua vipaji na kuviendeleza na pia kujenga afya kwa kushiriki katika michezo mbalimbali.

Katika utambulisho huo ambao ulitanguliwa na bonanza la michezo lililofanyika katika viwanja vya michezo vya Wilaya ya Liwale ikiwemo   michezo mbalimbali ambayo washiriki walishiriki jogging, mpira wa miguu, kuvuta kamba, kukimbiza kuku, karate, boxing, ngoma za asili, mechi ya Wakuu wa Idara na Madiwani pamoja na mechi maalumu kati ya Mashabiki wa Simba na Yanga.

Katika michezo hiyo Wakuu wa Idara waliibuka washindi wa bao 2 kwa 1 dhidi ya madiwani na wakuu wa idara wameibuka na zawadi ya mbuzi mmoja na mechi ya mashabiki wa wa yanga waliibuka na na ushindi wa penati 6 kwa 5 na kujishindia ngombe mmoja na pia washiriki wengine walijishindia mechi na kujipatia zawadi mbalimbali.

 Katika bonanza hilo Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Mlinga amewataka washiriki wa michezo mbalimbali kuhakikisha wanashiriki michezo hiyo kwani michezo ni afya na michezo inaleta amani na inajenga ushirikiano hivyo watumishi pamoja na wananchi tushiriki katika michezo ili tuborshe afya zetu

Na pia  Mheshimiwa Mlinga amewahidi wanamichezo wote walio shiriki michezo mbalimbali kuwa changamoto zote ambazo walizo nazo Serikali inatambua na “niwahidi kuwa Serikali hii ya sasa inatambua uwepo wa michezo na inatambua kuwa michezo ni ajira hivyo changamoto zitafanyiwa kazi ili michezo iweze kusonga mbele.

Hata hivyo pia amewapongeza washindi mbalimbali walioshinda katika bonanza hili lamichezo ikiwemo wataalamu kutoka Halmashauri, kwa kuwashinda Madiwani na pia mashabikiwa wa timu ya yanga kwa kuibuka na ushindi dhidi ya mashabiki wa timu ya simba na kushinda zawadi ya ngombe mmoja hivyo tutumie michezo kutuunganisha na kutujenga.




Washiriki wa michezo wakishiriki michezo mbalimbali Wilaya ya Liwale.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI

    October 30, 2024
  • UKAGUZI WA UTEKELEZAJI WA KUTENGWA, KUPIMWA NA KUMILIKISHA WAFUGAJI MAENEO RASMI KWAAJILI YA ZOEZI LA UFUGAJI KATIKA KATA YA KIMAMBI.

    October 25, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.