• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mkurugezi Awataka Watendaji Kufanya Mikutano ya Kata na Vijiji

Imewekwa:: May 28th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina Sekambo amefanya Mkutano na wananchi wa Kata ya Mpigamiti ambaayo ina Vijiji vya Mitawa, Makororo na Mpigamiti ikiwa ni kuwasikiliza na kutatua kero mbalimbali ambazo zinawakabili wananchi pamoja na kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo.

Akijibu hoja ambazo zimetolea na wananchi wa Kata ya Mpigamiti Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri amewataka Watendaji wa vijiji kuhakikisha wanafanya mikutano yote katika Vijiji vyao na Kata na pia kuwasomea wananchi mapato na matumizi katika mikutano hiyo pia ameongeza kuhakikisha wanakusanya mapato yatokanayo na mazao ili vijiji viweze kupata mapato na Mtendaji ambaye hatafanya mikutano atachukuliwa hatua kwa kuto wajibika sababu serikali inawalipa hivyo mnawajibu wa kuwatumikia wananchi.

Aidha Mkurugenzi amelekeza na kutoa elimu kwa wananchi utaratibu wa kijiji kutoa fedha benki na pia amemuagiza Mkaguzi wa Ndani kuja kufanya ukaguzi katika Kijiji cha Mitawa baada ya wananchi kutoa malalamiko juu ya matumizi ya fedha za kijiji na kutosomewa mapato na matumizi katika mikutano.

Hata hivyo Mkurugenzi amewakumbusha wakazi wa Mpigamiti juu ya kuendelea kuanzisha miradi katika Kata yao na Vijiji vyao  ikiwemo ujenzi wa Shule, Zahanati,na  kuchangisha na kuanzisha maboma baada ya hapo Serikali italeta fedha na kumalizia hivyo tushirikiane ili tuweze kusonga mbele na kuleta maendeleo katika Kata hii ya Mpigamiti.

Pia Mkurugenzi amewataka wataalamu wakilimo katika Kata ya Mpigamiti kuhakikisha wanafika katika mashamba ya wananchi ambao mazao yao yameharibiwa na wanyamapori iliwawezekurekodi na kuchukua taarifa kwaajili ya kupeleka kwenye Wizara ili wawezekupewa kifuta jasho kutokana na uharibifu uliofanywa.

Hata hivyo Mkurugenzi ametoa wito kwa wazazi kuwajibika kwa kuwasimamia watoto wao kuhudhuria shuleni na kuacha utoro na pia amewewataka kuwapeleka watoto shule hata kama awana sare za shule na pia amewasisitiza katika kuchangia chakula cha shule ili watoto wahudhurie shule na hii itapunguza utoro na pia watoto watapata elimu.

Picha mbalimbali katika Mkutano wa Wananchi na Mkurugenzi Mtendaji Tina Sekambo katika Kata ya Mpigamiti.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.