• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Wadau Wakutana Kujadili Ukatili wa Kijinsia

Imewekwa:: August 30th, 2024

Wadau na makundi mbalimbali wamekutana katika kujadili changamoto na mkakati wa kitaifa wa kutokomeza ukatili wanawake na watoto katika wilaya ya liwale ambapo kikao hicho kimeendeshwa na mwanasheria wa Halmashauri ndugu Elibariki Sindato.

Katika kikao hicho kimehudhuria na wadau, makundi mbalimbali, viongozi wa Dini, asasi za kirai, Wanafunzi na jeshi la polisi ambapo mwenyekiti amesema ‘dhumuni la kuitisha kamati hiii ni kuweza kujadiliana juu ya ulinzi wa maisha ya watu hususa ni wanawake na watoto”

Mwenyekiti amewasisitiza wajumbe kwa nafasi zao katika jamii inabidii waweze kuweka mipango na mikakati ya ulinzi wa Wanawake na Watoto ambapo kulingana na takwimu iliyowasilisha na Afisa ustawi wa jamii Bi Ziada Mkungu juu ya matukio ya ukatilii yaliyoripotiwa ofisi ya ustawi wa jamii ambayo imeeonyesha kuwa na idadi ya wahanga 337 walioripotiwa kupatwa na changamoto hizo

Aidha baadhi ya wajumbe walizungumzia swala la wanafunzi wanaojifelisha mitihani yao ya taifa kwasababu ya kutishiwa na wazazi wao, Kaimu afisa elimu msingi Bi. Mwanahiba Mwichande amesema" Wanafunzi ambao wamefeli mitihani ya taifa wanaweza kurudia tena masomo ndani ya miaka miwili". Hiyo itawasaidia wale waliokosa kufanya mitahini kupata fursa kurudia mitihani yao.

Pia kumekuwa na wimbi kubwa la watoto wanaofanya biashara ndogondogo mitaani kulingana na tabia hii kuwa chanzo Cha kukosa elimu kwa watoto hao, wajumbe wamesisitiza barua ziandikiwe kwa watendaji Kata na Vijiji kuwaita wazazi na waajiri wanaowatuma kazi hizo kuwaita ili kukemea vitendo hivyo na kuwachukulia hatua.

Kwa upande mwingine wajumbe wa kikao wametoa maoni kwa serikali kuhakikisha kunajengwa nyumba maalumu kwa ajili ya wahanga pia kuhamasisha wazazi kuacha kuwalazimisha watoto kujifelisha mitihani yao hivyo maafisa wa jamii ngazi ya Kata, na Vijiji kutoa elimu kwa Wanafunzi na wazazi kuacha tabia hizo.




.



Picha mbalimbali katika kikao cha kupinga ukatili wa kijinsia kilicho fanyika wilaya ya Liwale.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • MAKALA YA MAFANIKIO YA HUDUMA ZA JAMII NA MIUNDOMBINU NDANI YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA LIWALE. December 07, 2022
  • HESABUA ZA FEDHA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE MWAKA 2023/ 2024 July 05, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YATOA JUMLA YA MKOPO WA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 773,523,370.00 KWA VIKUNDI 201 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    June 08, 2025
  • HISTORIA IMEANDIKWA, HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAFANYA VIZURI KWA 100% KATIKA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.